CCM mnataka mpewe nini ili muwe Imara?

CCM mnataka mpewe nini ili muwe Imara?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,163
Reaction score
48,425
Mmeweka picha zake mpaka kwenye pikipiki Kwa maelfu lakini mikutano ya CHADEMA inawapelekesha na kuwapa kihoro.

Mna viongozi wote wa Serikali za mitaa, wabunge na Rais na ziada ya mabango, lakini mikutano ya CHADEMA inawapa wazimu!

Mnataka muwe na nini ili muwe imara?
 
Mmeweka picha zake mpaka kwenye pikipiki Kwa maelfu lakini mikutano ya CHADEMA inawapelekesha na kuwapa kihoro.

Mna viongozi wote wa Serikali za mitaa, wabunge na Rais na ziada ya mabango, lakini mikutano ya CHADEMA inawapa wazimu!

Mnataka muwe na nini ili muwe imara?
😅😅😅
 
Mmeweka picha zake mpaka kwenye pikipiki Kwa maelfu lakini mikutano ya CHADEMA inawapelekesha na kuwapa kihoro.

Mna viongozi wote wa Serikali za mitaa, wabunge na Rais na ziada ya mabango, lakini mikutano ya CHADEMA inawapa wazimu!

Mnataka muwe na nini ili muwe imara?
Bado upo jamii forum unaandika kwa kweli nyie ndio mnamdhaihaki lissu na kumng'ong'a!
 
IMG_1090.jpeg
Bado upo jamii forum unaandika kwa kweli nyie ndio mnamdhaihaki lissu na kumng'ong'a!
We mwenyewe choo kimekushinda kwa kuvimbiwa
 
Ni sawa na gari lina Kila kitu ila dereva anashindwa kuliendesha!!
 
Mmeweka picha zake mpaka kwenye pikipiki Kwa maelfu lakini mikutano ya CHADEMA inawapelekesha na kuwapa kihoro.

Mna viongozi wote wa Serikali za mitaa, wabunge na Rais na ziada ya mabango, lakini mikutano ya CHADEMA inawapa wazimu!

Mnataka muwe na nini ili muwe imara?
Mikutano hiyo inahatarisha uwepo wao madarakani,japo MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI ni mteule wa RAIS ambaye ni MWENYEKITI WA CCM TAIFA.
 
Mikutano hiyo inahatarisha uwepo wao madarakani,japo MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI ni mteule wa RAIS ambaye ni MWENYEKITI WA CCM TAIFA.
Na bado mikutano ya CHADEMA inawapa kiwewe muda wote wana ugili gili!
 
Hili nalijua kwa hakika litatokea. Sijui ni lini lakini ni very soon
Kwa wale wanaosoma historia; watagundua kwamba hakuna utawala unaodumu milele! Ilikuwepo dola ya Kirumi, utawala wa makaburu, utawala wa Wanazi kule Ujerumani, utawala wa Wajapani kwa Wachina, Wakoloni waliokuja Afrika na maeneo mengine, nk! Tawala zote hizi kwa sasa zimebakia tu kuwa ni historia.

Kwa hiyo na CCM nao wanatakiwa walitambue jambo hili. Yaani ni suala tu la muda kabla utawala wao wa mabavu kuanguka.
 
Mmeweka picha zake mpaka kwenye pikipiki Kwa maelfu lakini mikutano ya CHADEMA inawapelekesha na kuwapa kihoro.

Mna viongozi wote wa Serikali za mitaa, wabunge na Rais na ziada ya mabango, lakini mikutano ya CHADEMA inawapa wazimu!

Mnataka muwe na nini ili muwe imara?
CCM ni chama dhaifu sana na hadi sasa kinapumulia mabavu ya nguvu za vyombo vya dola. Uungwaji mkono wa kiwango kikubwa mno ulioonyoshwa na wananchi katika Kanda mbili za Nyasa na Kusini umewaogofya sana CCM ambao siku zote wamekuwa wakihubiri kuwa Chadema imekufa. Vitendo vya kinyama vilivyofanywa na polisi jana jioni na leo mchana vimempaka matope sana Samia kinyume cha anavyoaminishwa na chawa wake kuwa bunduki na mabomu ya polisi ndiyo zinaimarisha utawala wake wa kiimla.Heri Dikteta mwanaume kuliko dikteta mwanamke anayeungwa mkono na chawa.
 
Sisiemu mlenda tu, bila polisi ya manguvu hamna kitu, ndo maana hawataki recruits zaidi ya fomfoo na veta
 
Back
Top Bottom