Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,658
Uvccm watiifu tufikiriweKwahiyo ulikuwa na pendekezo gani sasa?
Au ulikuwa na maoni gani?
Uvccm watiifu tufikiriweKwahiyo ulikuwa na pendekezo gani sasa?
Au ulikuwa na maoni gani?
😂😂😂😂We we mjenga sacos ya ufipa, ya uvccm yanakuhusu ninii
Kwenye teuzi broMkuu umeonewa wapi tena?
Vijana wengi wameteuliwa mkuu katika zile nafasi 139.Kwenye teuzi bro
Kwenye vyombo vya habari au????Na wale waliokua wanamhoji benard member wako wapi?maana siwaasikii kabisa.
Hakuna hilo suala, viongozi wote wana sifa zinazohitajika. Ndiyo maana wanathibitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM sambamba na kuteuliwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.Mkuu kwani wenye sifa za uongozi huko CCM na UVCCM wanatoka Iringa/Njombe tu.
Kinachoniuma kuachwa sisi wajenzi wa chama kuchukuliwa watu ambao hawajui hata kirefu cha ccm wala hawajawahi kuvaa mashati ya kijani.... naumia sanaVijana wengi wameteuliwa mkuu katika zile nafasi 139.
Muda wako utafika.Kinachoniuma kuachwa sisi wajenzi wa chama kuchukuliwa watu ambao hawajui hata kirefu cha ccm wala hawajawahi kuvaa mashati ya kijani.... naumia sana
Ni km Halima Bulembo nini mkuu?Raymond Mwangala yule jamaa yuko CCM toka Darasa la tano,imekulia ccm,amesomeshwa na ccm.na amekulia humo humo
Natukanwa na chadema mm, nazomewa lkn teuzi zikija wanapewa chadema.Wewe ni nani hapo uvccm ili tujue uchungu wako hasa upo kwenye nini?
Chadema yupi kapewa teuzi?Natukanwa na chadema mm, nazomewa lkn teuzi zikija wanapewa chadema.
Kama wapi hebu taja majina yenu niende ni wasilishe kwa mother?Uvccm watiifu tufikiriwe
Kuna wengi wametajwa kwenye group lkn mm meleft hata hilo group. Siwakumbuki.Chadema yupi kapewa teuzi?
We mbona lako haujapeleka ndio utapeleka langu?!Kama wapi hebu taja majina yenu niende ni wasilishe kwa mother?
Kapata u DC.Hv yule katibu wakuitwa mangwala Raymond alipigwa chini aunkaula udc
dea wee ni mfia chama kumbe?Bora ningeporwa hela ila sio haya tunayofanyiwa uvccm tulio na uchungu na chama chetu, tuliotumia nguvu na muda kujenga chama
Nilivaa hadi kijora cha kijani lakini wapiiii sijaonwa 😔dea wee ni mfia chama kumbe?
Kihongosi mbna ni wahaya? Kenani kwao kagera.Mbona naona kama Iringa/Njombe ndio CCM haswa, makamu mwenyekiti anatoka Mkoa wa Njombe, Katibu Mkuu wa CCM nasikia nae anatoka Mkoa wa Iringa na hili jina la katibu mkuu wa UVCCM ni kama nalo ni mtu wa Iringa /Njombe, kama ndio hivyo basi shughuli ipo.
Acha kabisa yaan.Nilivaa hadi kijora cha kijani lakini wapiiii sijaonwa