Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Kumbe mabadiliko yanawezekana tukiamua
Amaa kweli vijana wakiamkawazeetukae mbali wasitukwae!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe mabadiliko yanawezekana tukiamua
Kesho warioba anafanya kongamano la hatari katiba mpya
Matokeo yenu yalitangazwa na Nape na DC wa Kilindi kuwa mmepata ushindi wa mezani wa vijiji 2,700.
Bali matokeo ya ukweli yanatagazwa na wasimamizi wa uchaguzi vituoni.
Mapingamizi kwani yalikuwa siri mpaka yasijulikane?
Halafu nasikia wazungu wa MCC wamewakamata tezi dume mpaka Mr dhaifu kalivuruga baraza la mawaziri kujinusuru.
Leo umeenda kazini au bado unashinda hapa jukwaani?
Siku zote nipo kazini. Hivi hapa mtu anaganda? haya mawasiliano hayajawaingia akilini? amma kweli.
Naona nyimbo zinaanza kubadilika kwa haraka sana kuliko nilivyotegemea.
Kulikoni?
Huo ni upepo tu utapita
Bwamdo element zako zina matatizo nani kakwambia matokeo ya metoka kushinda mtaa moja tu imekuwa kelele ccm inashinda kwa elimu yao kubwa nyinyi vilaza hamna elimu kazi yenu kupiga kelele tu
Hebu jitahidi kufikirisha akili, usikurupuke. Tatizo mmezoe kutafuniwa kila kitu, sasa nikuulize umemwelewaje Vuta nikuvute aliposema "Vikao vyenyewe sio vya kukaa ni vya kukalishwa na kusimangwa" Kwani CCM mna vikao rasmi vya kukalishwa na kusimangwa? Kama hamna basi ujue kuwa Vuta nikuvute anashuhudia pale ofisini watu wamechanganyikiwa wanalalamiana na kutupiana lawama mradi tu wapate wa kumbebesha mzigo, na si vikao rasmi.
Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
We Faiza wewe!!! Ni takwimu zipi unangoja? Unadhani it will just be business as usual ee subiri