BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Ushindi wa mapingamizi, hila , wizi wa kura na nguvu ya dola nao ni wa kujivunia?
Ina maana hizi technique zote ni za kulagh'ai watanzania eti kwamba ni mwenzao! /Uwiiii eti anakamua maziwa. Halafu iweje?
Hujakosea Matokeo ya ujumla mmeshinda .. LAKINI ... NDIO MATEGEMEO YENU.
PILI Kiujumla Mmefanikiwa zaidi ... linganisha kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi. ?
Fasta ...Lete jibu kamili hapa. NB hakuna manunguniko na visingizio.
Bottom line mmepigika. Tulieni Maumivu Yapitishe dawa kwenye misuli.
matokeo ya mwaka huu hatupimi mmepita bila kupingwa ngapi ila tunapima mlikuwa na ngapi mmepoteza ngapi na mmeweza kubakiza ngapi na je mlishinda kwa kura hizo hizo mwaka ulipita.Pia hii ina maana pia kuwa kura ya katiba itakuwa na mshikimshike piaSalaam zako nimezipata, tupo hapa twangoja matokeo rasmi, burdaaan wa sharaba, wala hatuna wasi, tunawaona mnavyohaha kwa kudanganyana.
Viwanda vya uongo kazini.
matokeo ya mwaka huu hatupimi mmepita bila kupingwa ngapi ila tunapima mlikuwa na ngapi mmepoteza ngapi na mmeweza kubakiza ngapi na je mlishinda kwa kura hizo hizo mwaka ulipita.Pia hii ina maana pia kuwa kura ya katiba itakuwa na mshikimshike pia
Naona chord zimebadilika, mshaanza kupata matokeo rasmi nini?
Naona chord zimebadilika, mshaanza kupata matokeo rasmi nini?
Unafiki tu...
Mshaanza kubadili nyimbo? matokeo rasmi umeyaona nini?
Loh...! Mbavu zangu tafadhali...!Au nioe mhaya?View attachment 211245
Hebu jitahidi kufikirisha akili, usikurupuke. Tatizo mmezoe kutafuniwa kila kitu, sasa nikuulize umemwelewaje Vuta nikuvute aliposema "Vikao vyenyewe sio vya kukaa ni vya kukalishwa na kusimangwa" Kwani CCM mna vikao rasmi vya kukalishwa na kusimangwa? Kama hamna basi ujue kuwa Vuta nikuvute anashuhudia pale ofisini watu wamechanganyikiwa wanalalamiana na kutupiana lawama mradi tu wapate wa kumbebesha mzigo, na si vikao rasmi.vuta nikuvute muongo mzushi wewe vikao gani vikae halafu saa tatu wewe uturushie taarifa. CCM ina utaratibu wa kuitisha vikao na unachoshangaza ni kuwa umekuwa msemaji wa tume ya uchaguzi au tamisemi...ukawa haijashinda kihivyo unakuza tu .kupata mitaa miwili kati ya mitaa 250 ya ccm sio ushindi bali ni kujikongoja..subiri matokeo kamili acha kurauka
Matokeo yenu yalitangazwa na Nape na DC wa Kilindi kuwa mmepata ushindi wa mezani wa vijiji 2,700.Mshaanza kubadili nyimbo? matokeo rasmi umeyaona nini?
Matokeo yenu yalitangazwa na Nape na DC wa Kilindi kuwa mmepata ushindi wa mezani wa vijiji 2,700.
Bali matokeo ya ukweli yanatagazwa na wasimamizi wa uchaguzi vituoni.
Mshaanza kubadili nyimbo? matokeo rasmi umeyaona nini?