CCM kwachafuka,mchawi anatafutwa

CCM kwachafuka,mchawi anatafutwa

..... Watatafunana Mwaka Huu, Na Bado, Hizi Ni Mvua Za Rasharasha
 
CHADEMA huwa mnajisifu hapa kila siku kuwa UMMA uko na ninyi.

Nashangaa leo mnashangilia ushindi kiduchu namna hii! tena chini ya mwamvuli wa UKAWA.

Hiyo NGUVU ya UMMA iko wapi sasa? Mkiwa na NGUVU ya UMMA na CCM inayopata ushindi wa "Tsunami" kila uitishwapo uchaguzi isemeje?

ni uchaguzi upi muliwai kushinda kwa tsunami!
usichokoze hasira zetu dhidi ya uchakachuaji wenu wa mabox ya kura na kuwachagulia wanainchi viongozi mabubu walioshindwa kuongoza inchi na kusabisha ubadhilifu mkubwa ktk historia ya Tanganyika yetu
 
hao wa kukalishwa wamerudi lini toka mikoani mpaka wakalishwe kama sio uzandiki wako na kiherehere kudakia usiyoyajua.. hakuna wanaolalamikiana na tunafanya tathmini za kisayansi kabla ya kuamua hatua inayofuata. hakuna aliyesimangwa wala hatasimangwa mtu kwani bado tumeshinda maeneo mengi tu na tunaongoza
Wewe ni mbumbumbu hujaelewa mada. Vuta nikuvute anaongelea alichokiona ofisini. Sasa kama wewe unasubiri tafiti za kisayansi subiri zifanyike halafu utaanzisha uzi wako utakanao na hizo tafiti. Lakini usibwabwaje kuipinga thread kama humuamini Vuta nikuvute kaa kimya au lete hoja zinazoeleweka. Unaposema hawajarudi toka mikoani kwani ofisi ya Lumumba imefungwa? Nyie inaonesha ndio mlikuwa mnakataa matumizi ya computer maofisini ndio maana sasa hivi unadhani kila taarifa lazima iletwe physically.
 
Ulitegemea kura zitapatikane wapi kwa mbinu kama hizi zilizopitwa na wakati.

th

Huyu msomali tapeli, nilicheka sana alipochaguliwa kuwa katibu mkuu, huyu alikuwa kampeni meneja wa kikwete akampiga chini akamuweka Miraji 2010.
 
ccm ijipange iache kutafuta mchawi haya matokeo mazuri sanaa kwa ccm kujua wamekosea wapi na wajipangeje mwakani?
 
mumbumbu mzungu wa reli ni wewe kibona kwani vutanikuvute hajasema kweli .ataonaje ofisi yoote ya ccm kila chumba kila korido na atasikiaje yanayozungumzwa kote?? ungeniambia paliitishwa kikao na yeye akawa mjumbe ndio ningekuamini lakini kwa uzushi huu...
Wewe ni mbumbumbu hujaelewa mada. Vuta nikuvute anaongelea alichokiona ofisini. Sasa kama wewe unasubiri tafiti za kisayansi subiri zifanyike halafu utaanzisha uzi wako utakanao na hizo tafiti. Lakini usibwabwaje kuipinga thread kama humuamini Vuta nikuvute kaa kimya au lete hoja zinazoeleweka. Unaposema hawajarudi toka mikoani kwani ofisi ya Lumumba imefungwa? Nyie inaonesha ndio mlikuwa mnakataa matumizi ya computer maofisini ndio maana sasa hivi unadhani kila taarifa lazima iletwe physically.
 
uongo mwingine bwana..ati vuta nikuvute anashuhudia watu wanasimangwa...angetupia japo picha ya watu wawili tu ningeamini lakini kwa uzushi huu hata mtoto wa darasa la sita humdanganyiQUOTE=Kibona;11404652]Hebu jitahidi kufikirisha akili, usikurupuke. Tatizo mmezoe kutafuniwa kila kitu, sasa nikuulize umemwelewaje Vuta nikuvute aliposema "Vikao vyenyewe sio vya kukaa ni vya kukalishwa na kusimangwa" Kwani CCM mna vikao rasmi vya kukalishwa na kusimangwa? Kama hamna basi ujue kuwa Vuta nikuvute anashuhudia pale ofisini watu wamechanganyikiwa wanalalamiana na kutupiana lawama mradi tu wapate wa kumbebesha mzigo, na si vikao rasmi.[/QUOTE]
 
Salaam zako nimezipata, tupo hapa twangoja matokeo rasmi, burdaaan wa sharaba, wala hatuna wasi, tunawaona mnavyohaha kwa kudanganyana.

Viwanda vya uongo kazini.

Mlichotegemea hakikufikia lengo, endeleeni kusubiri kuumia.
 
Binafsi taarifa nilizonazo ccm imefanya vizuri maeneo mengi sana! Vijijini na mjini.
 
mumbumbu mzungu wa reli ni wewe kibona kwani vutanikuvute hajasema kweli .ataonaje ofisi yoote ya ccm kila chumba kila korido na atasikiaje yanayozungumzwa kote?? ungeniambia paliitishwa kikao na yeye akawa mjumbe ndio ningekuamini lakini kwa uzushi huu...
Okay! sasa kumbe tatizo lako kubwa ni kuwa humwamini Vuta-nkuvute, hapo hamna jinsi ya kuelewana ila ujue kuwa toka enzi za jamboforum weakness kubwa ya Jamiiforums ni kuwa taarifa zinaletwa kihuni hivihivi na bila ushahidi, lakini uzuri wa Jamii forums ni kuwa taarifa zinathibitika kuwa kweli. Kuhusu swali lako kuwa "atasikiaje yanayozungumzwa kote?" Jibu si la moja kwa moja, ila ni kuwa kama huyo Vuta-nkuvute humfahamu kazi yake basi usihitimishe kuwa kilichoandikwa ni uongo, maana uzuri wa JF ID feki ndio mpango ikitokea siku tumefahamiana wote humu kwa majina halisi na kazi tunazozifanya basi tutashangaana sana. Hapa najaribu tu kukuambia kuwa humu JF kuna watu wana uwezo wa kuaccess taarifa ambazo wewe unaziona haziwezekani. Japo najua hivi karibuni JF imevamiwa na kizazi fulani cha graduates wasiokuwa na kazi ndio maana hata rate ya lugha za matusi zimeongezeka.
 
Mlichotegemea hakikufikia lengo, endeleeni kusubiri kuumia.

Siyo mlichotegemea nyinyi? kuungana kote na UKIWA juu hata 30% hamkupata, mnategemea matokeo hayo ndiyo mtaipata nchi 2015?

Mawee.
 
now you are talking !...
Okay! sasa kumbe tatizo lako kubwa ni kuwa humwamini Vuta-nkuvute, hapo hamna jinsi ya kuelewana ila ujue kuwa toka enzi za jamboforum weakness kubwa ya Jamiiforums ni kuwa taarifa zinaletwa kihuni hivihivi na bila ushahidi, lakini uzuri wa Jamii forums ni kuwa taarifa zinathibitika kuwa kweli. Kuhusu swali lako kuwa "atasikiaje yanayozungumzwa kote?" Jibu si la moja kwa moja, ila ni kuwa kama huyo Vuta-nkuvute humfahamu kazi yake basi usihitimishe kuwa kilichoandikwa ni uongo, maana uzuri wa JF ID feki ndio mpango ikitokea siku tumefahamiana wote humu kwa majina halisi na kazi tunazozifanya basi tutashangaana sana. Hapa najaribu tu kukuambia kuwa humu JF kuna watu wana uwezo wa kuaccess taarifa ambazo wewe unaziona haziwezekani. Japo najua hivi karibuni JF imevamiwa na kizazi fulani cha graduates wasiokuwa na kazi ndio maana hata rate ya lugha za matusi zimeongezeka.
 
Siyo mlichotegemea nyinyi? kuungana kote na UKIWA juu hata 30% hamkupata, mnategemea matokeo hayo ndiyo mtaipata nchi 2015?

Mawee.

Chora graph hapa tuone chama chetu pendwa Ccm kinavyozidi kupasua anga!!

Maana usilete vichekesho kama vya Seif Khatib aliyetamba bungeni kwamba ndiye mbunge aliyepata asilimia nyingi kuliko mbunge yeyote wa jamhuri mwaka 2010, watu wenye akili timamu tulipouliza kapata kura ngapi tukaambiwa kura 2000. Hizi ndio akili makalioni za maccm.
 
Chora graph hapa tuone chama chetu pendwa Ccm kinavyozidi kupasua anga!!

Maana usilete vichekesho kama vya Seif Khatib aliyetamba bungeni kwamba ndiye mbunge aliyepata asilimia nyingi kuliko mbunge yeyote wa jamhuri mwaka 2010, watu wenye akili timamu tulipouliza kapata kura ngapi tukaambiwa kura 2000. Hizi ndio akili makalioni za maccm.

Wewe bwabwaja lakini ukweli ni kwamba hata 30% ya viti vya serikali za mitaa hamkupata Tanzania hii.

Na kuungana kote? inasikitisha sana. Nawaonea huruma.

UKAWA imekuwa UKIWA.
 
Wewe bwabwaja lakini ukweli ni kwamba hata 30% ya viti vya serikali za mitaa hamkupata Tanzania hii.

Na kuungana kote? inasikitisha sana. Nawaonea huruma.

UKAWA imekuwa UKIWA.

Weka graph hapa acha kujambajamba.
 
Wewe bwabwaja lakini ukweli ni kwamba hata 30% ya viti vya serikali za mitaa hamkupata Tanzania hii.

Na kuungana kote? inasikitisha sana. Nawaonea huruma.

UKAWA imekuwa UKIWA.

Una roho ngumu dada FF. Kwa mtu makini, wa chama tawala lazima ajiulize, nini kimetokea.Mfano, Mtwara mjini ngome ya CCM tangu tupate Uhuru leo matokeo yawe viti 53 upinzan na 58 CCM( wastani wa angalau 49%/51). Wewe hii haikuatui kweli kama wewe ni makini lazima utajiuliza kulikoni.

Hii ni mwanzo wa threat mbaya kwa CCM hivyo waondoe dosari. Matokeo yakiwa hivyo kwa ubunge kwa mfano, ni pigo kubwa tena sana, maamuz ya Bungeni kwa utaratibu wa Ndiyooooo hautakuwepo na hivyo kazi itakuwa ngumu sana. Wenzio wanapanga mikakati hawabweteki.
 
Back
Top Bottom