huu ni mwanzo, bado tutawanyongea chini na katiba yenu ya ccm hapo april na kuwaua kabisa itapofika october
hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
Ccm imechukuwa tena ushindi wa kishindo tanzania nzima.
Hapawezi kutulia kwa hali ilivyo siku hizi za karibuni.
Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
Unafiki tu...
Kwa haya mamb niliyo yashuhudia Kyela kwa CCM kupigwa kama mbwa mwizi nakuhakikishia mkuu HAKUNA KURA ZA MAONI za KATIBA MPYA April 2015~
Kuna kijana ana miaka 19 kashinda uenyekiti wa Kijiji Kyela anaitwa Timth Kimwaga,huyu kijana kila mkutan yy alikuwa anamshambulia Mwakyembe tu kwa kukana maandiko yake kuhusu serikali tatu wakati anachukua PhD yake!
Katiba mpya hii Kyela inayo husishwa na Chenge mla rushwa HAIWEZI pita Mbeya!!
Unafiki tu...
Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
Last year 2009 CCM ilishinda uchaguzi huu kwa asilimia 96, this time tunataka kuona mmeongeza asilimia ngapi, uje kwa data sio kuhororoja kwa maneno ya mitaani.Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
Ccm imechukuwa tena ushindi wa kishindo tanzania nzima.
Haijalishi tutashinda kwa asilimia ngapi ila ushindi ni ushindi tuLast year 2009 CCM ilishinda uchaguzi huu kwa asilimia 96, this time tunataka kuona mmeongeza asilimia ngapi, uje kwa data sio kuhororoja kwa maneno ya mitaani.
Mkuu upo!!!! Tulia dawa iingie taratibu daktari asije akaweka katika flesh badala ya vain. Inaitwa intravenous fluid hiyo inauma balaa. Pole.Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
Hapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
Nakubaliana na wewe dada. Wametulisha sana ugoro wao. Kuna siku tutaheshimiana. Tusubiri matokeo kamiliHapa ukawa wanajifariji tu na ukweli wanashindwa kuusema, ngoja takwimu zitoke uone watakavyoingia mitini.
CCM imechukuwa tena ushindi wa kishindo Tanzania nzima.
Hii imeongeza kura,lakini ile ya kun'goa meno ya wanyama poriUlitegemea kura zitapatikane wapi kwa mbinu kama hizi zilizopitwa na wakati.
![]()