blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 13,414
- 16,787
hehehe! kazi unayo mjomba. hata mtaji wenu wa wajinga unafilisika kwa kasi.
Wamevifukarisha vijiji kwa miaka 50 na kuwajaza ujinga. Sasa mwisho umefika.
hehehe! kazi unayo mjomba. hata mtaji wenu wa wajinga unafilisika kwa kasi.
Unafiki tu...
Yeah! tunataka tuone CCM imeongeza vijiji/mitaa mingapi na imepokonywa vijiji/mitaa mingapi vile vile tuone upinzani kwa ujumla(UKAWA) wameongeza vijiji/mitaa mingapi wamepokonywa mingapi.Huu ndio mtizamo sahihi.
CCM kabla ya uchaguzi wa mitaa na CCM baada ya uchaguzi wa mitaa .. ! Ipi imeshinda kwa kishindo. ?
Hawana jipya hao, ukitazama nyuzi zao walizoleta humu wanazotangaza ushindi utacheka, wanashangaza kwanini hawaoneshi waliposhindwa?
Hapo sasa.
CCM hizi laana alianza kuzileta SAMWELI SITTA alipowatusi viongozi wa DINI...na hii laana ipo tu inafuta vivuli vyenu mpaks mtakapoanguka
Usanii wa hawa jamaa umewasaidia sana Watanzania kujua sura halisi ya hiki chama.Kambi za Urais na Escrow zinatajwa kama sababu kuu. Ziara za Katibu Mkuu wa chama nazo zinapondwa kwa kukosa matunda ya maana. Hakuna pa kushika,hakuna wa kumtupia lawama za moja kwa moja. Lakini,wakuu wanamtafuta wa kumwangushia 'jumba bovu'.Mchawi wa matokeo haya.
Unafiki tu...
Unafiki tu...
Naona mnajipa moyo.
Unanikumbusha hadithi ya "kufungwa twafungwa lakini chenga twawala".
Angalia msije kukataa takwimu.
Huu uandishi huu unafurahisha sana sana iaseeee naam. MSALANI kajitutumua kujibu hapo, asante kwa kuokoa jahazi maana hii aibu ya mwaka hii. Kha CCM chama dume, imeshageuka CCM tezi dume mara hii??
Lengo lako ni kumnadi Lowasa.
Leo hapa Lumumba hakukaliki.Hakusemeki jema. Hasira zimetanda. Nyaraka kalikali zinapita kutoka huku kwenda kule. Ofisi zetu hapa leo zinakuwa chungu.Kisa,UKAWA kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM kama Monduli. Makada wanalaumiana,vikao visivyoisha.Lakini,ni vikao kwa kukalishwa na si kukaa.Kukalishwa na kusimangwa. Kukemewa. Kushambuliwa.
Inasemwa hapa kuwa lengo la CCM halijatimia.Iitakiwa CCM ishinde kwa asilimia 90. Hadi sasa,hali ni tete.Mikoa yetu tuliyokuwa tunaitegemea imetuangusha. Majimbo yetu yaliyokuwa imara,yamesambaratika. Wabunge wetu wanaojitutumua Bungeni kama majembe ya chama, hawajasaidia kupatikana asilimia 90. Mambo ni shaghalabaghala. Mchafukoge!
Kambi za Urais na Escrow zinatajwa kama sababu kuu. Ziara za Katibu Mkuu wa chama nazo zinapondwa kwa kukosa matunda ya maana. Hakuna pa kushika,hakuna wa kumtupia lawama za moja kwa moja. Lakini,wakuu wanamtafuta wa kumwangushia 'jumba bovu'.Mchawi wa matokeo haya.
Kwani ni dhambi wapinzani kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Unafiki tu...
Unafiki tu...
Leo hapa Lumumba hakukaliki.Hakusemeki jema. Hasira zimetanda. Nyaraka kalikali zinapita kutoka huku kwenda kule. Ofisi zetu hapa leo zinakuwa chungu.Kisa,UKAWA kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM kama Monduli. Makada wanalaumiana,vikao visivyoisha.Lakini,ni vikao kwa kukalishwa na si kukaa.Kukalishwa na kusimangwa. Kukemewa. Kushambuliwa.
Inasemwa hapa kuwa lengo la CCM halijatimia.Iitakiwa CCM ishinde kwa asilimia 90. Hadi sasa,hali ni tete.Mikoa yetu tuliyokuwa tunaitegemea imetuangusha. Majimbo yetu yaliyokuwa imara,yamesambaratika. Wabunge wetu wanaojitutumua Bungeni kama majembe ya chama, hawajasaidia kupatikana asilimia 90. Mambo ni shaghalabaghala. Mchafukoge!
Kambi za Urais na Escrow zinatajwa kama sababu kuu. Ziara za Katibu Mkuu wa chama nazo zinapondwa kwa kukosa matunda ya maana. Hakuna pa kushika,hakuna wa kumtupia lawama za moja kwa moja. Lakini,wakuu wanamtafuta wa kumwangushia 'jumba bovu'.Mchawi wa matokeo haya.
Kwani ni dhambi wapinzani kushinda vijijini na kwenye ngome za CCM?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hawana jipya hao, ukitazama nyuzi zao walizoleta humu wanazotangaza ushindi utacheka, wanashangaza kwanini hawaoneshi waliposhindwa?
Hapo sasa.