Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #121
Mmechemka hapo hakuna cha utetezi, hiyo meli ni mali ya watanzania wote bila kujali itikadi.
Hamkutakiwa kuigeuza chambo cha kuombea kura
Hamkutakiwa kuigeuza chambo cha kuombea kura
kabla hujakurupuka uwe unasoma vizuri, nimekwambia kwa kodi yako ndio wakapanga watengeneze meli, wangeamua kupanga wakagawana ungebaki kupiga domo tu,