Ndiyo nani huyu!
Nabii TitoNdiyo nani huyu!
hujaeleweka ongeza nyama kidogoView attachment 1242930
Huyu ni mmoja wa wagombea wa ccm walio mbioni kutangaza nia , ambapo taarifa zinadokeza kwamba tayari timu yake ya kampeni imekwisha tangazwa
Huyu ni Chadema kindakindaki......amehama lini?View attachment 1242930
Huyu ni mmoja wa wagombea wa ccm walio mbioni kutangaza nia , ambapo taarifa zinadokeza kwamba tayari timu yake ya kampeni imekwisha tangazwa
umepanic tayari.Huyu ni Chadema kindakindaki......amehama lini?
Hahahaaaa........huyo atakuwa mamluki wa Ufipa!umepanic tayari.
Nabii Tito adhamiria kuibadili Dodoma mjini kwa mipango ya kisasa .hujaeleweka ongeza nyama kidogo
huyo dogo wako kapitishwa kura za maoni ?Hahahaaaa........huyo atakuwa mamluki wa Ufipa!
Mziki utakuwa ni ule ule wa 2015........Dogo vs Kigaila wa Ufipa
Kura za maoni si muhimu......la muhimu ni jina kurudishwa na CC!huyo dogo wako kapitishwa kura za maoni ?