Nashindwa kuelewa, CCM wanasema ati CDM wamemdhalilisha DC, lakini wao wanasambaza picha za DC akiwa anapelekwa kama Mhalifu.
Unajua Mnafiki utamjua haraka sana. Hawa viongozi wa juu wa CCM wanawadharau sana wananchi na wote walio chini yao. Haiingii akilini kwa mtu kama waziri kuwaonyesha wananchi picha za mtu akiwa amevuliwa nguo, nadhani angeelezea mkasa tu ingetosha!
Kwa upande mwingine, kwa vyovyote vile atapata huruma ya washabiki wa CCM tu, kwa watu ambao wanajua kuwa DC anakula hela ya walipa Kodi wakati ni kada wa CCM ndio watafurahia na kuona kuwa CDM ni chama makini kwani wana nguvu hata ya kumkamata DC kuliko CCM na polisi wake wanaoshindwa kuwakamata wahalifu. Hivyo CCM inabidi wabadilike na kuwajali wananchi kuliko kukumbatia makada wake wahalifu.
Tumeona ile Meli iliyozama huko ZNZ wamiliki hawajachukuliwa hatua, na kesi inapugwa danadana kwa sababu mmiliki mmoja ni mbunge wa CCM.....wananchi wakijua haya wataelewa unafiki wa CCM mana hawajali maisha ya mwananchi wa kawaida kwa kukumbatia makada wake....
Nawapongeza CDM kwa kuonyesha kuwa mbele ya sheria hakuna mkubwa!
Source: Mwananchi today
Unajua Mnafiki utamjua haraka sana. Hawa viongozi wa juu wa CCM wanawadharau sana wananchi na wote walio chini yao. Haiingii akilini kwa mtu kama waziri kuwaonyesha wananchi picha za mtu akiwa amevuliwa nguo, nadhani angeelezea mkasa tu ingetosha!
Kwa upande mwingine, kwa vyovyote vile atapata huruma ya washabiki wa CCM tu, kwa watu ambao wanajua kuwa DC anakula hela ya walipa Kodi wakati ni kada wa CCM ndio watafurahia na kuona kuwa CDM ni chama makini kwani wana nguvu hata ya kumkamata DC kuliko CCM na polisi wake wanaoshindwa kuwakamata wahalifu. Hivyo CCM inabidi wabadilike na kuwajali wananchi kuliko kukumbatia makada wake wahalifu.
Tumeona ile Meli iliyozama huko ZNZ wamiliki hawajachukuliwa hatua, na kesi inapugwa danadana kwa sababu mmiliki mmoja ni mbunge wa CCM.....wananchi wakijua haya wataelewa unafiki wa CCM mana hawajali maisha ya mwananchi wa kawaida kwa kukumbatia makada wake....
Nawapongeza CDM kwa kuonyesha kuwa mbele ya sheria hakuna mkubwa!
Source: Mwananchi today