Kwenye sakata hili tuna pande mbili za shilling, Me na Ke. Kwa vyovyote vile hatuwezi kuwa na maoni sawa. Ila kama Magige alichepuka; hilo ni suala lingine. Tulidhani magige alikuwa beneti na marehemu na hakuwa mchepukaji, kama likuwa mchepukaji, basi hakustahili hata kuweka lile shada alishajitoa ulingoniNashangaa munavyomtetea huyo malaya wakati hamumjui vyema