Sawa Mr.kolola nimekusoma
Nataman kuendelea ila bando limekata,uchumi wa kati wengine hatujafika bado😄
Nataman kuendelea ila bando limekata,uchumi wa kati wengine hatujafika bado😄
Kwenu publicity matter a lot lakini kwa Me, kitanda ndicho mwisho wa lami. Ulishasikia msemo kuwa ‘mwanaume roho yake hailali anapolaza kiwiliwili chake bali hulala inapolala k anayoipenda sana’ . Hivyo tulivyo tofauti kimaumbile hata kimtizamo. Mchepuko unaonipenda kwa dhati ni wa maana kuliko mwanamke wangu wa ndoa ya kikatoliki asiyenithamini.