JF
Nasikiliza hapa mpoto anawaelekezea wana Dar es Salaam, kuwa katika Ilani mpya ya CCM, chama kinatarajia kujenga barabara ya chini ( subway road ) kutokea Posta kuibukia Mbezi
Yaani unadumbukia Posta, unajikuta Mbezi
Kwa kweli MAMA mitano tena , nani kama CCM
Muwe na jioni njema
Nasikiliza hapa mpoto anawaelekezea wana Dar es Salaam, kuwa katika Ilani mpya ya CCM, chama kinatarajia kujenga barabara ya chini ( subway road ) kutokea Posta kuibukia Mbezi
Yaani unadumbukia Posta, unajikuta Mbezi
Kwa kweli MAMA mitano tena , nani kama CCM
Muwe na jioni njema