Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Wadau nilikuwa namsikiliza nape akitangaza kuhamisha sherehe za kuzaliwa kwa ccm kutoka tar 5 kurudi 2 ili kuwapa watu muda wa kuhudhuria.tujadili kwa pamoja kuna shida mahali nimeiona.
ukishajadili itakusaidia nini?Wadau nilikuwa namsikiliza nape akitangaza kuhamisha sherehe za kuzaliwa kwa ccm kutoka tar 5 kurudi 2 ili kuwapa watu muda wa kuhudhuria.tujadili kwa pamoja kuna shida mahali nimeiona.
Nyie wafuasi wa LEMA hamna JEMA. wangefanya siku ya kazi mngelalamika, wamefanya jumapili mnalalamika.
Mwatakaje basi?
Msala umetapikaNyie wafuasi wa LEMA hamna JEMA. wangefanya siku ya kazi mngelalamika, wamefanya jumapili mnalalamika.
Mwatakaje basi?
Nyie wafuasi wa LEMA hamna JEMA. wangefanya siku ya kazi mngelalamika, wamefanya jumapili mnalalamika.
Mwatakaje basi?
Sheikh mambo vipi? Mbona umehadimika sana jukwaani??
Sheikh mambo vipi? Mbona umehadimika sana jukwaani??
ukishajadili itakusaidia nini?
Ela ya bando toka lumumba,MIZIGO haina ela.Sheikh mambo vipi? Mbona umehadimika sana jukwaani??
Nyie wafuasi wa LEMA hamna JEMA. wangefanya siku ya kazi mngelalamika, wamefanya jumapili mnalalamika.
Mwatakaje basi?
Na hii kama ni kweli ni VITUKO SHOW.
Hiki chama kimekuwa cha comedy for all season.
Imefikia mahali mimi nikikosa kipindi cha
Joti na Mpoki basi natafuta cd ya mkutano au hotuba ya gambaz mmoja, naburudika na kujistukia nimesinzia, mara ni asubuhi ingine, naamka na kuelekea kunako rizki.