KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Habari za ndani za na za kiintelijensia nilizozipata zinasema, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinampango wa kubadili jina hilo, ili kukiletea mvuto wake wa asili kwa wananchi.
Habari hizo zinazidi kudai kuwa, mchakato utawakilishwa katika siku ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru, na mipango ya kutoa mapendekezo ya jina mbadala litakalotumiwa utaanza rasmi ili ikiwezekana litumike katika uchaguzi ujao.
Hali hiyo inatokana na CCM kupoteza umaarufu hivyo kutishia uwezekano wa kupotea katika ulimwengu wa kisiasa ifikapo mwaka 2025.
Hivi sasa CCM inadai kutumia nguvu na rasilimali nyingi katikai kuuza sera zake kwa wananchi, kitu ambacho ni tofauti na chama kikuu cha upinzani CHADEMA.
Habari hizo zinazidi kudai kuwa, mchakato utawakilishwa katika siku ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru, na mipango ya kutoa mapendekezo ya jina mbadala litakalotumiwa utaanza rasmi ili ikiwezekana litumike katika uchaguzi ujao.
Hali hiyo inatokana na CCM kupoteza umaarufu hivyo kutishia uwezekano wa kupotea katika ulimwengu wa kisiasa ifikapo mwaka 2025.
Hivi sasa CCM inadai kutumia nguvu na rasilimali nyingi katikai kuuza sera zake kwa wananchi, kitu ambacho ni tofauti na chama kikuu cha upinzani CHADEMA.