CCM Kubadili Jina ili Kupata Mvuto.

Rahisi sana! Vunja CCM upate Tanu na ASP, kisha vunja TZ upate Tanganyika na Zanzibar.....hapo mvuto utarudi yaani itakuwa kama zamani..........
 
Ila unaweza kuwa mkakati unaowafaa baadhi ya watu. Nakumbuka enzi za ujana wangu kule kijijini mtu mmoja alinyweshwa sumu kijinga hivi hivi. Chupa imeandikwa "sumu ya panya" na jamaa akamwambia kuwa anaweza kubadilisha sumu akibadiilsha label. Na kweli mbele ya macho yake akabadilisha label na kuondoa hiyo ya "sumu ya panya" na kuandika "Maziwa Bora". Kwa vile vyote vilivyopo mle ndani vilikuwa vya rangi nyeupe jamaa - msiniulize kwanini - aliamini kuwa sumu imekuwa maziwa. Akanywa masaa machache baadaye watu walianza kutoa rambirambi.

Wapo watu wanaoweza kuamini kabisa kuwa kubadilisha label kunaweza kubadili kilichomo kama watu vile wapo wanaoamini kuwa kiumbe kinaweza kujivua gamba halafu kikageuka kuwa kiumbe kingine.

So please, hii iwe ni burudani nzuri tu kwa siku ya Ijumaa. TGIF!

Hii kweli ni burudani ya weekend....
 
Tooo Late, mbona 2015 mbai sana mkuu? 2015 tunachukua nchi,af tunaizika kwenye kaburi na kulisakafia vizuri, huyo anayewaza 2015 anaota ndoto za kujenga ghorofa hewani
 
Jaman jaman,kweli ccm wamepoteza kabisa, kujivua gamba hakijawatosha!ushauri wangu kwa kuwasaidia ccm wajiite NYERERE PARTY itawasaidia kuwakamata akina fulan japokuwa wamepungua cku hizi,yaani wale wanaosema Njomba,Mkapa kapata Unyerere.
 
Kwani CCM ni chama halali?Kama sheria ya vyama vingi ilitaka chama(vyama) kutotumia jina la chama ambacho kiliwai kuwepo kabla 1992 lkn ccm ilibakia hivyo.Chama lazima kisajiliwe,lazima kiwe na wadhamini kutoka bara angalau mikoa 5 na visiwani 3.Je ccm ilifanya hivyo? Je msajiri alikuwa anafanyakazi kama serikali au ccm?Kitu gani kiliifanya ccm isifanye kama vyama vingine na vipi kipate automatic registration?CCM siyo chama halali ndo maana akina viungozi.
 
Wakuu msiichukulia hii ishu kwa jazba, muichukulia kama changamoto iwapo ya watabadili jina.

tushaona makampuni mengi na mashirika ya umma baada ya kubadili label yamefufuka rasmi na kuendelea kuongoza kama sio kulete upinzani mkubwa.

let's wait 9 Dec.
 
Kwani dec 9 ni sherehe ya ccm,tanzania,tanzania bara au Tanganyika maana vyombo vya newz hasa TBC wanatuchanganya mpaka walimu tunapata tabu shuleni wanafunzi wanauliza sana kitu hii.
 
Wakuu msiichukulia hii ishu kwa jazba, muichukulia kama changamoto iwapo ya watabadili jina.

tushaona makampuni mengi na mashirika ya umma baada ya kubadili label yamefufuka rasmi na kuendelea kuongoza kama sio kulete upinzani mkubwa.

let's wait 9 Dec.

Inaima kaka kuwa watumwa kwenye nchi ye2 wenyewe!co jazba 2najaribu kuwapa ushauri wa jina nzuri inayowafaa,kitu hutajwa kwa cfa zake.ok bac wajiite ccm kama walivyo,yaan CHUKUA CHAKO MAPEMA
 
Wakuu msiichukulia hii ishu kwa jazba, muichukulia kama changamoto iwapo ya watabadili jina.

tushaona makampuni mengi na mashirika ya umma baada ya kubadili label yamefufuka rasmi na kuendelea kuongoza kama sio kulete upinzani mkubwa.

let's wait 9 Dec.
Tuko siriasi mkuu ebo! waambie wakiite Harakat-e Islami-yi watatupata wengi.
 
Yaani wakati mwingine unatafuta la kusema unakosa...Mukama sijui waliona ni nguvu mpya na kasi mpya...???
 
Unajua kuna vitu havikai kwenye akili hata ukilazimisha,2kumbuke mwaka 05 ccm walipompitisha jk kama mgombea urais watz wengi walishangilia wakijua mageuzi yanakuja, SS huyo ndo kaaribu kabisaaa afadhali ya wenzanke watasingizia uwanja wa taifa,Jk atasingizia nn zaidi ya kununua magoli ma4 toka brazil kwa bil.

Kadhaa na kuitangaza shida zetu dunia nzima by da way kubadili jina co suluhu ya kutatua matatizo 2lizonayo bal kubadil mfumo wa utawala ilete tija kwa Mtz.AU MNAONAJE WANGEJIUNGA NA CUF WAJIITE Baba na Mwana. (BM)
 
Jaman jaman,kweli ccm wamepoteza kabisa, kujivua gamba hakijawatosha!ushauri wangu kwa kuwasaidia ccm wajiite NYERERE PARTY itawasaidia kuwakamata akina fulan japokuwa wamepungua cku hizi,yaani wale wanaosema Njomba,Mkapa kapata Unyerere.

Duu!!, hili jina linaweza ifanya CCM kushika ''Hatamu" tena, hususan huko vijijini.
Siku watakapanzisha mchakato, nadhan watafanya kama shindano ivi, mshindi atakayependekeza jina zuri atajinyakulia zawadi, baada ya jina hilo kupitishwa NEC.
 
Back
Top Bottom