CCM itaenda kwa style gani Mtwara 2015?

CCM itaenda kwa style gani Mtwara 2015?

Hivi CCM wataenda kuomba kura
Mtwara kwa style gani? kwa
bendi ya TOT na bongo flavor au
wataenda wakiwa wabubujikwa
machozi ?

TOT itaongoza, then T-shirt, Kofia, Khanga, safari hii ili kuboresha wataongeza suruali na sketi, then pilao, na wali pombe za kienyeji, na kwa wale wagumu buku tano, Mtwara chaliiii!100% ya kura kwa magamba!
 
TOT itaongoza, then T-shirt, Kofia, Khanga, safari hii ili kuboresha wataongeza suruali na sketi, then pilao, na wali pombe za kienyeji, na kwa wale wagumu buku tano, Mtwara chaliiii!100% ya kura kwa magamba!

OSOKONI unataka kuniambia wana Mtwara wana sahau haraka na kwewepesi namna hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Wataenda na style hii hii ya sasa ya fufuyu na geshi ra jutizedi
 
Watawatumia JWTZ kama kawa....chezea gamba uone (CGU)
 
Wataenda kwa Style ya Chomoa "Ni..ja.m..be"!! Hawa jamaa kwa Kuchomoa ni wataalamu sana! Wewe umesahau kua Watanzania ni Wepesi kusahau, wakipikiwa tu Wali Maharage na kupewa buku 5 na Tishirt na Kofia basi Wanajiachia!!
CCM 2015 wamejichimbia Kaburi. Huku Kaskazini,mikoa ya Arusha,Kilimanjaro,Mwanza,Mara,Shinyanga na Huko Kigoma tayari CCM ilishakufa zamani. Tunasubiri ndugu wa Marehemu Mikoa ya Kusini na Kati ili washiriki Mazishi ya Marehemu CCM 2015. Na tayari ndugu wote wameonyesha nia ya kushiriki MAZISHI ya CCM 2015.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Kaka Mtwara kuna Wamakonde.

Wamakonde wamesha amua kuwa ccm ni haramu kwao,hakifugiki.wamesema wanaanza na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka kesho. wanasema yeyote atakae chukua fomu kuomba uongozi kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI basi nyumba yake lazima ichomwe na yeye mwenyewe maisha yake yatakuwa hatarini. kiukweli ccm wana wakati mgumu sana Mtwara mjini, masasi,tandahimba, newala na huko kwa hawa ghasia.
 
CCM hawana mshipa wa utu wala aibu .Mfano utawaona akina Mkuchika na Ghasia mjengoni wana act as if nothing is happening in Mtwara plus Membe .Hawa watakuja na hoja ya Utanzania nk you just wait and see.Wako kama Mapamba Mtela na Shonza , kwa umri wao wanamtukana Slaa kisa wako CCM utadhani wamezaliwa na watoto wenzao na si wazee kama Slaa .
 
Mgogoro wa gas mtwara wala hauishi karibuni. Labda utatulia kwa muda tu lakini vuguvugu hili litaendelea kuwepo maana serikali haijachukua scientific approach kutatua mgogoro huu. Hatua muhimu serikali iliyoignore ni kuwashirikisha wananchi wa mtwara katika kupata suluhu badala yake wanatumia mabavu.
 
Hap karibuni mimi na Mohamedi Mtoi tulikuwa tunajiuliza swali kama hili,hivi wataendaje Mtwara CCM na kuwaomba kuwa wana Mtwara yaani wataanzaje hasa kuwaomba??nadhani kwanza kabla ya kwenda watajishauri mara 2 maana imekuwa hatari sana kwao sana tena...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hap karibuni mimi na mohamed Mtoi tulikuwa tunajiuliza swali kama hili,hivi wataendaje Mtwara CCM na kuwaomba kuwa wana Mtwara yaani wataanzaje hasa kuwaomba??nadhani kwanza kabla ya kwenda watajishauri mara 2 maana imekuwa hatari sana kwao sana tena...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

CCM wana kiburi, jeuri na dharau. Nadhani wataenda na uso wa mbuzi
 
Last edited by a moderator:
OSOKONI unataka kuniambia wana Mtwara wana sahau haraka na kwewepesi namna hiyo?

majeraha waliochiwa ni makubwa sana sana sana,na pia zile vurugu za tarime na arusha tuzitegemee pia,wagombea watazomewa na hata kurushiwa mawe au chupa,,,,majeraha waloachiwa ni pamoja na kuvunjiwa na kuchomewa nyumba,lakin pia ulemavu waloachiwa,vilevile wakiwaona Polisi kumbukumbu zitawajia tu
 
Last edited by a moderator:
Hivi CCM wataenda kuomba kura
Mtwara kwa style gani? kwa
bendi ya TOT na bongo flavor au
wataenda wakiwa wabubujikwa
machozi ?

Watakwenda na ulinzi mkali wa JWTZ
 
CCM wana kiburi, jeuri na dharau. Nadhani wataenda na uso wa mbuzi

kwa zama hizi sidhan,maana wananchi ujue wamechoshwa sana,unadhan wataenda na kauli gani?hebu tudadisi tu hapa watakapoenda watajipanga vipi????
 
Back
Top Bottom