Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 5,089
- 11,888
Kwa ufupi kabisa, mpaka sasa Taifa la Tanzania limeshapoteana.
Sababu kubwa ni CCM kushindwa kuelewa kuwa Generation has changed, na hata modality ya kuongoza nchi na kuchanganua mambo inapaswa kubadilika.
Modality ya kutisha tisha raia, kuteka watu ilianzishwa na Nyerere na inatumika hadi sasa …Hii njia itaenda kuzalisha masacree zaidi ya ile Oct 29 : kibaya zaidi tunaambiwa raia kwa sasa wameanza ku access silaha za moto …. Ni hatari sana .
Taifa kwa sasa linahitaji viongozi watakaobadili hii Nyerere style ya uongozi na kuwa na viongozi wanaoweza kusikiliza na kuwa na maamuzi jumuishi na usawa kwa national resources
Dr Megalodon Mushi
Canada 🇨🇦
Sababu kubwa ni CCM kushindwa kuelewa kuwa Generation has changed, na hata modality ya kuongoza nchi na kuchanganua mambo inapaswa kubadilika.
Modality ya kutisha tisha raia, kuteka watu ilianzishwa na Nyerere na inatumika hadi sasa …Hii njia itaenda kuzalisha masacree zaidi ya ile Oct 29 : kibaya zaidi tunaambiwa raia kwa sasa wameanza ku access silaha za moto …. Ni hatari sana .
Taifa kwa sasa linahitaji viongozi watakaobadili hii Nyerere style ya uongozi na kuwa na viongozi wanaoweza kusikiliza na kuwa na maamuzi jumuishi na usawa kwa national resources
Dr Megalodon Mushi
Canada 🇨🇦