CCM itaenda kwa style gani Mtwara 2015?

CCM itaenda kwa style gani Mtwara 2015?

Kwanza nawasalimu wote;
kama kawaida yao watapanda juu ya majukwaa au juu ya ma VX na kuanza hotuba danganyifu:- WANANCHI muliteswa na wakoloni mmkauliwa na wakoloni, Ambapo wao ndo walouwana kuwatesa tangu uhuru!!
Watageuza kibao kingine WANANCHI msikubali kuwa rudisha mabepari watawanyonya, kumbe wao wananyonya !!
NK... mengi ya ajabu.
 
Wamakonde wamesha amua kuwa ccm ni haramu kwao,hakifugiki.wamesema wanaanza na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka kesho. wanasema yeyote atakae chukua fomu kuomba uongozi kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI basi nyumba yake lazima ichomwe na yeye mwenyewe maisha yake yatakuwa hatarini. kiukweli ccm wana wakati mgumu sana Mtwara mjini, masasi,tandahimba, newala na huko kwa hawa ghasia.
ndo hapo OSOKONI asubiri tu kuangalia mwakan itakuaje??lakin matendo yalotokea kule yamebak akilin mwao,jana nilikoment kuwa even jk akienda mtwara kumnad mgombea wake 2015 atapaswa kujipanga sana ategemee zomeazomea pamoja na kurushiwa makopo,
 
Last edited by a moderator:
ndo hapo OSOKONI asubiri tu kuangalia mwakan itakuaje??lakin matendo yalotokea kule yamebak akilin mwao,jana nilikoment kuwa even jk akienda mtwara kumnad mgombea wake 2015 atapaswa kujipanga sana ategemee zomeazomea pamoja na kurushiwa makopo,
Tena huyo mimi ningekuwa mshauri wake ni bora asije huku Mtwara maana itakuwa balaa kwa jinsi atakavyo bezwa na kuzomewa.kila kona ukipita lawama zote anaelekezewa yeye. watu wana sema haitakii mema Mtwara kwani haiwaingii akilini kwanini zile KM 60 mpaka leo hazijaisha na wala kampuni inayo jenga haija chukuliwa hatua zozote za kushindwa kukamilisha mradi kwa zaidi ya miaka 8
 
TOT itaongoza, then T-shirt, Kofia, Khanga, safari hii ili kuboresha wataongeza suruali na sketi, then pilao, na wali pombe za kienyeji, na kwa wale wagumu buku tano, Mtwara chaliiii!100% ya kura kwa magamba!
Mh Kikwete ameisha kiri kukabidhi urais kwa CCM 2015.
 
ndo hapo OSOKONI asubiri tu kuangalia mwakan itakuaje??lakin matendo yalotokea kule yamebak akilin mwao,jana nilikoment kuwa even jk akienda mtwara kumnad mgombea wake 2015 atapaswa kujipanga sana ategemee zomeazomea pamoja na kurushiwa makopo,
Mkuu sio kweli. Watanzania (sio Mtwara/Lindi pekee) ni wasahaulifu mno, hili litayeyuka tuu ifikapo mwisho wa mwaka huu na mheshimiwa rais atapeta tu huko pindi akitembelea sehemu hizo.
 
ndo hapo OSOKONI asubiri tu kuangalia mwakan itakuaje??lakin matendo yalotokea kule yamebak akilin mwao,jana nilikoment kuwa even jk akienda mtwara kumnad mgombea wake 2015 atapaswa kujipanga sana ategemee zomeazomea pamoja na kurushiwa makopo,

Nitashukuru sana kama watu wa huko watakuwa wamebadilika hivo, maana ilkuwa inanashangaza sana kwamba mtwara ni mkoa ulio nyuma sana kimaendeleo lakini kura nyingi za ccm zinatoka huko,.je kuna kata yoyote yenye uchaguzi mdogo karibuni? hicho kimngekuwa kipimo cha awali! kama hakuna basi uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 utatuonyesha njia!
 
Last edited by a moderator:
Hivi CCM wataenda kuomba kura
Mtwara kwa style gani? kwa
bendi ya TOT na bongo flavor au
wataenda wakiwa wabubujikwa
machozi ?

Mkuu leo rais akienda hutaamini umati na rangi za kijani. Usicheze na ccm.
Isitoshe ni mbali sana, watz watakua wameisha sahau.
 
Wakigawa ubwabwa na chumvi kwisha kazi.
 
walivyo kweli magamba watamtuma MWIGULU akaeneze mashitaka yao kuwa chadema magaidi .
 
Hivi CCM wataenda kuomba kura
Mtwara kwa style gani? kwa
bendi ya TOT na bongo flavor au
wataenda wakiwa wabubujikwa
machozi ?

Mkuu, zamani kulikuwa na msemo ule, " mtendaji aweza sahau, lakini mtendewa..." Msemo huu unaweza kutumika kwa takribani watu wote ila si watanzania!

Tunasahau sana, tunatilia mambo yasiyo na msingi, tukidhani mambo yamsingi hayatuhusu.

Bendi zitakwenda, kofia kwa vijana, fulana kwa wazee, khanga (kwa akina mama), pesa yaafuta (kwa watu wa boda boda), nyimbo zikiimbwa kwa ajili ya vijana chipukizi, na ucheshi wa Ze comedy kwa watoto na watu wote, "Mwana Mtwara" Mh.Rais mstaafu wa awamu ya tatu akiongoza, huku ule mradi wa nyumba za wahudumu wa Afya zilizojengwa zikitumiwa kama bait, ...watanzania watasahau machungu yote.
 
[QUOTE= Watakuja na style waloingia nayo leo, Vifaru vya vita mji mzima, kama tuko Congo,
 
Back
Top Bottom