Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,647
Kwanini asikate tamaa huku anapigwa nje na ndaniooh hadi wewe umekata tamaa basi kazi tunayo afisa kipenyo mzee wa jkoni
Kwanini asikate tamaa huku anapigwa nje na ndaniooh hadi wewe umekata tamaa basi kazi tunayo afisa kipenyo mzee wa jkoni
July Iko dakika za jioni kabisaMambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!
Tafuta kitabu kinaitwa MUSHKIL KUSHA kitakusaidia katika shughuli zako za unajimuMambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!
Ccm ni ya wahuni kitambo.tokea walipoacha kufundisha makada wao chuo cha kivukoni ndipo ccm original ilipozikwa rasmi.hii ni ccm mpya wahuni wamejazana huko.Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!
Ccm bado ipo sanaWa kuishusha CCM bado hajawepo na mbaya zaidi wanaojaribu wanapambana na watu na CCM inaendelea kubaki imara!
Kesho ni 31.07.2025 asije akasema hakusema hivyoJuly Iko dakika za jioni kabisa
Chuo gani?tokea walipoacha kufundisha makada wao chuo cha kivukoni ndipo ccm original ilipozikwa rasmi.
Nyerere university.Chuo gani?
Mkuu britanicca pole sana, unanikumbusha nyakati za JPM alikuwepo The Boss, jamaa alikuwa bitter na utawala wa jiwe, kila siku alikuwa anaandika kama wewe japo sidhani kama alikuwa insider. Wakafanikiwa kumalizana na jiwe.
Kwa sababu CCM wamejaa wahuni tu sasa sio tena chama cha wakulima na wafanyakazi bali wahuni na majambazi..Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!
Kama Comandioro yonga ameisha kuzidi kete vile...! Maana ana code the talk of walk. Boresha vyanzo vyako vya habari.Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Mkuu sasa Polepole atafanya jambo gani la kuwazuia hawa mabwana ilihali na yeye kajificha Mashariki ya mbali?
Mpaka sasa sijaona impact ya Polepole baada ya ile Press na hata hiyo press ya July 31 sidhani kama kutakua na jipya zaidi ya Yeye kuvuliwa uanachama na hadhi ya uBalozi.
Na mimi napata wasiwasi huu. Ni kama anatupa sindano za ganzi.britanicca yupo kimkakati kuwafubaza watu humu, kuweni makini nae….
Anategemea taarifa kutoka kwa rafik zake wa TISS walio kwenye ranks ndogo, wasioweza fanya maamuzi yoyote.
Wanamdanganya sanaa
Kumbe ulikuwa unamtegemea Polepole kukamilisha swala la July,wewe bure kabisa🤣🤣🤣Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!
Unawaamini vijana wa BAALI?![]()
104K views · 2.7K reactions | UNABII WA TAIFA: TAREHE TATU MUHIMU MWEZI WA NANE - 3/8/2025 - 7/8/2025 - 28/8/2025 VIDEO KAMILI YOUTUBE@prophet.edmoundmystic #unabii #tanzania🇹🇿 #politicsnation #viralvídeos #election2025 #politicalparty | Edmound
UNABII WA TAIFA: TAREHE TATU MUHIMU MWEZI WA NANE - 3/8/2025 - 7/8/2025 - 28/8/2025 VIDEO KAMILI YOUTUBE@prophet.edmoundmystic #unabii #tanzania🇹🇿 #politicsnation #viralvídeos #election2025...www.facebook.com
Wa chama chakavuUnawaamini vijana wa BAALI?