CCM inakubali kuendeshwa kihuni

CCM inakubali kuendeshwa kihuni

Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
July Iko dakika za jioni kabisa
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Tafuta kitabu kinaitwa MUSHKIL KUSHA kitakusaidia katika shughuli zako za unajimu
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Ccm ni ya wahuni kitambo.tokea walipoacha kufundisha makada wao chuo cha kivukoni ndipo ccm original ilipozikwa rasmi.hii ni ccm mpya wahuni wamejazana huko.
 
Mkuu britanicca pole sana, unanikumbusha nyakati za JPM alikuwepo The Boss, jamaa alikuwa bitter na utawala wa jiwe, kila siku alikuwa anaandika kama wewe japo sidhani kama alikuwa insider. Wakafanikiwa kumalizana na jiwe.
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Kwa sababu CCM wamejaa wahuni tu sasa sio tena chama cha wakulima na wafanyakazi bali wahuni na majambazi..
 
Mkuu sasa Polepole atafanya jambo gani la kuwazuia hawa mabwana ilihali na yeye kajificha Mashariki ya mbali?

Mpaka sasa sijaona impact ya Polepole baada ya ile Press na hata hiyo press ya July 31 sidhani kama kutakua na jipya zaidi ya Yeye kuvuliwa uanachama na hadhi ya uBalozi.

One step at a time....
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Kumbe ulikuwa unamtegemea Polepole kukamilisha swala la July,wewe bure kabisa🤣🤣🤣
 
Unawaamini vijana wa BAALI?
 
Back
Top Bottom