britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,969
- 45,797
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!
Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025
Britanicca!!