CCM inakubali kuendeshwa kihuni

CCM inakubali kuendeshwa kihuni

Hamna chochote cha kumfanya wala cha kuwafanya, hapa tungojee tena 2030 huko labda wakati utakuwa unewadia.
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo
ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Mkuu kama huyo uliye mtaja katumwa na Boss wake kwenda kusimamia, ?

unafikiri ni rahisi kwenda kusimamia TU kazi za chama bila access ?
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Yaani baada ya maramli yako yooooooote umeishia kulaumu na kukata tamaaaaaaaa!???
Kweli CCM babalao kama alivyoimba Diamond Plutnumz!!!
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Mkuu July ndio imeisha hivyo
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Hafrey kesho ataongea kutokea Kibaha kwa Matia ya mamtoni
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
🤔🤔💭
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Mchezo umeisha, subirini 2030,na kwenyewe mtapigwa mno
 
Mchezo umeisha, subirini 2030,na kwenyewe mtapigwa mno
 
Wasipokikomboa wanaccm wenyewe basi nchi yetu imeshakuwa pango la wanyang'anyi
 
Mambo ya ajabu kabosa yanaendelea. Yaani Bashite na yeye amegeuka kuwa Godfather ndani ya CCM kiasi cha kutuma na kusimamia majina ya watu wake mbalimbali kupitishwa ikiwemo Kigamboni, Kawe, Nyamagana na kwingineko...serious kabisa hawa wazee wamezidiwa na Bashite na mfumo unaangalia na kukubali kumkabidhi power hiyo

Ngoja tuone Polepole plz Kamilisha suala letu la July 2025

Britanicca!!
Mkuu unayumba sana sikuhizi.
Mkutano mkuu ni 4 Aug.
 
Back
Top Bottom