mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
CCM wanapaswa kutafuta jina lingine, maana lilianza wakati ule wa chama kimoja na wanalitumia kurubuni wajinga ili wapate kura. kuanzia mfumo wa vyama vingi walipaswa kulibadili mana hili jina lilikuwa la watanzania wote.
Pia mali na viwanja vya mpira vilivyopatwa wakati wa chama kimoja wavirudishe kwa wananchi mana hata mashabiki wa chadema ni wananchi, wasitaifishe mali ya umma kuwa ya chama kwa kisingizio cha multipatism. lasi hivyo na sisi upinzani tutalitumia jina hilo na bendera mana ni mali ya wananchi na si individual kama CCM.
NI LAZIMA WATAFUTE JINA LAO KUWAKILISHA HAO MAFISADI NA WEZI HII ITASAIDIA KUFANYA MABADILIKO KTK NCHI
:A S cry::A S cry: nalia kwa uchungu
Pia mali na viwanja vya mpira vilivyopatwa wakati wa chama kimoja wavirudishe kwa wananchi mana hata mashabiki wa chadema ni wananchi, wasitaifishe mali ya umma kuwa ya chama kwa kisingizio cha multipatism. lasi hivyo na sisi upinzani tutalitumia jina hilo na bendera mana ni mali ya wananchi na si individual kama CCM.
NI LAZIMA WATAFUTE JINA LAO KUWAKILISHA HAO MAFISADI NA WEZI HII ITASAIDIA KUFANYA MABADILIKO KTK NCHI
:A S cry::A S cry: nalia kwa uchungu