Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
UFUNUO WA TANZANIA kama wamefikia hatua hiyo basi wanajiandaa kuwa chama cha upinzani!
Last edited by a moderator:
Vya kubadili ni vingi japo sina uhakika kama huo mkakati utawazalia matunda.Chama cha Mapinduzi Maarufu kama CCM kipo mbioni kubadili jina ili kubadilisha taswira ya Chama hicho katika Jamii ya Watanzania. Watonyaji wanasema kwamba hii ndiyo karata ya Mwisho ambao chama hiki chenye umri mkubwa kuliko vyote hapa nchini kimeamua kuitumia baada ya mipango mikakati yote iliyotumika mpaka sasa kujihakikishia kuwa kinabaki madarakani 2015 kutozaa matunda kabisa.
Falsafa nyuma ya mpango huu ni kutumia jina jipya kukonga tena nyoyo za waTanzania ili 2015 waweze kushinda.
Licha ya kubadilisja jina Pia chama hiki kikongwe kitafanya mabadiliko machache ndani ya chama ili kurejesha imani kwa wa Tanzania
Mpango huu umekuja baada ya jitihada zote walizotumia kuua upinzani kutozaa matunda. Mtonyaji mmoja amesema kwa vyama kama NCCR, CUF waliishia ngazi za chini kabisa katika kuvimaliza kisiasa lakini kwa CHADEMA hali imekuwa tofauti. Hivyo baada ya external strategies kukwama wameamua watumie internal strategies kama kubadili jina. Hii ni pamoja na kujaribu kukinusuru chama na makundi hasimu yaliyopo ndani ya chama yanayotaka kuwania Urais mwaka 2015
Chanzo: Habari toka vyanzo vya kuaminika Dodoma White house na Lumumba Dar ambazo zimevuja na hazijathibitiswa na wasemaji maana ni toka vyanzo vya ndani sana.
Mnatuaharibia Jukwaa letu la siasa kwa kuleta upuuzi wenu wa Facebook huko na Tanuru la Mavi.
JF lipo jukwaa la jokes muwe mnapeleka huko post zenu za kijingajinga.
Chama cha Mapinduzi Maarufu kama CCM kipo mbioni kubadili jina ili kubadilisha taswira ya Chama hicho katika Jamii ya Watanzania. Watonyaji wanasema kwamba hii ndiyo karata ya Mwisho ambao chama hiki chenye umri mkubwa kuliko vyote hapa nchini kimeamua kuitumia baada ya mipango mikakati yote iliyotumika mpaka sasa kujihakikishia kuwa kinabaki madarakani 2015 kutozaa matunda kabisa.
Falsafa nyuma ya mpango huu ni kutumia jina jipya kukonga tena nyoyo za waTanzania ili 2015 waweze kushinda.
Licha ya kubadilisja jina Pia chama hiki kikongwe kitafanya mabadiliko machache ndani ya chama ili kurejesha imani kwa wa Tanzania
Mpango huu umekuja baada ya jitihada zote walizotumia kuua upinzani kutozaa matunda. Mtonyaji mmoja amesema kwa vyama kama NCCR, CUF waliishia ngazi za chini kabisa katika kuvimaliza kisiasa lakini kwa CHADEMA hali imekuwa tofauti. Hivyo baada ya external strategies kukwama wameamua watumie internal strategies kama kubadili jina. Hii ni pamoja na kujaribu kukinusuru chama na makundi hasimu yaliyopo ndani ya chama yanayotaka kuwania Urais mwaka 2015
Chanzo: Habari toka vyanzo vya kuaminika Dodoma White house na Lumumba Dar ambazo zimevuja na hazijathibitiswa na wasemaji maana ni toka vyanzo vya ndani sana.
lile alilosema jasson bourne la kujipindua wameahirisha?
nashauri kiitwe chodema ili kuwachanganya wananchi,
kwa sbb hakuna namna ya kukiponyesha.:lol::eyebrows: