johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Kimsingi kwa mfumo wetu wa siasa Serikali ndio CCM yenyewe hivyo nguvu ya serikali ndio nguvu ya CCM.
Lakini CHADEMA wanaonekana kuwa na maarifa zaidi hasa baada ya sakata la Sabaya na sasa hili la kesi la viongozi 7 akiwemo DC Mashinji wa CCM.
Kiufupi CCM wanapaswa kuwa makini zaidi kabla hawajajikuta ni chama cha maigizo (Waigizaji)
Amani na iwe kwenu!
Lakini CHADEMA wanaonekana kuwa na maarifa zaidi hasa baada ya sakata la Sabaya na sasa hili la kesi la viongozi 7 akiwemo DC Mashinji wa CCM.
Kiufupi CCM wanapaswa kuwa makini zaidi kabla hawajajikuta ni chama cha maigizo (Waigizaji)
Amani na iwe kwenu!