CCM imemaliza kazi - Chadema imeisha!!

CCM imemaliza kazi - Chadema imeisha!!

Wanajf, salaam!!
Chama cha MAPINDUZI kwa ufupi kimemaliza kazi ya kampeni kwa mwaka 2015 - 2020. Chadema hata wafanyeje hawawezi kuipiku CCM kwa turufu ya kisiasa.

Kumbukumbu ni:-
1. Ununuzi wa ndege,
2. Ujenzi wa bomba la mafuta,
3. Ujenzi wa reli (standard gauge),
4. Mikataba ya madini mipya,
5. Kuwabana mafisadi papa,
6. Mapato ya ndani,
7. Nidhamu sekta za umma na ndani ya CCM
8. Matumizi ya fedha za umma n.k

Chadema hamna piku ya mambo haya maybe jiandaeni next season ya 2020 - 2025.

Unaposema mmemaliza kazi una maana huku hamtaleta maji au?? Huku kwetu huku tunakoishi huku. Tunatumia run off kama maji ya kawaida kwa matumizi yote. Sasa unasemaje mmemaliza kazi jamani mbona mnatutisha????? Yaani mara hii mnataka kuanza kubweteka??
 
Uache ujinga zaidi. Hizo zote ni kick za muda mfupi tu. Kipi kimefanikiwa so far?. Makinikia? Mapato ya ndani? Bure kabisa! Rais wenu anaishia desemba 2019

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Wanajf, salaam!!
Chama cha MAPINDUZI kwa ufupi kimemaliza kazi ya kampeni kwa mwaka 2015 - 2020. Chadema hata wafanyeje hawawezi kuipiku CCM kwa turufu ya kisiasa.

Kumbukumbu ni:-
1. Ununuzi wa ndege,
2. Ujenzi wa bomba la mafuta,
3. Ujenzi wa reli (standard gauge),
4. Mikataba ya madini mipya,
5. Kuwabana mafisadi papa,
6. Mapato ya ndani,
7. Nidhamu sekta za umma na ndani ya CCM
8. Matumizi ya fedha za umma n.k

Chadema hamna piku ya mambo haya maybe jiandaeni next season ya 2020 - 2025.
Mkuu ww jifariji 2020 sio mbali watz wanazidi kuelimika

Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
 
Nakuhakikishia kuwa nyimbo zenu labda ziimbeni 2020 - 2025 lkn kwa mwaka 2020 kazi imeisha. Mnavyotetea ufisadi na mafisadi ndivyo mnavyojichimbia kaburi la kisiasa.

Mnatetea waizi wa makinikia, Mnatetea wezi wa mikataba ya madini Feki, Mnatetea wanafunzi kupata mimba mashuleni - hapo CDM tuwachaguwe kwa lipi??
 
Mkitaka tuwape kura,tupeni Noah zetu

Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
 
Naona unatamani upate Noa ya burebure. Safi.
Lakini labda nikuulize. Upinzani hivi kwa sasa unapinga nini... na una faida yoyote kwa sasa. Labda mimi ningependekeza... upinzani uwe wa vipindi vipindi tuu... ni waste of time and resources kama katika mazingira kama ya sasa kuwa na upinzani

Kama hujui manufaa ya upinzani! sina namna ya kukuelimisha baki hivyo hivyo. Maana una akili kulioko watu wengine wote kama unavyoamini. Likini kumbuka walisema muda ni hakimu mzuri sana.
 
Siasa za chama kimoja ndio Siasa?

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app

HAKIKA CDM Mnabisha ukweli mkiujuwa - CCM imewabana kila kona (Arumeru mmnepukutika, Arusha mmnepukutika, Kigoma mmeisha, Kagera mmnepukutika, nk nk nk)

Sababu ya kupukutika mnaijuwa vzr sana - kwamba ninyi ni watetezi wa wezi wa mali za umma - ACACIA
 
Rekodi ya utendaji wa awamu hii, umeifuta kabisa Ukawa
Kweli wewe stroke.
Utendaji upi mkuu unaoungelea.????
Na uo utendaji umefanya nini kwa taifa...?
Ongelea mpact za utendaji wa mkulu...
Yan work done=0 ndo mkulu anachofanya.
Naomba na matokeo kwa statistics
Usilete siasa na maneno ya lumumba

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
HAKIKA CDM Mnabisha ukweli mkiujuwa - CCM imewabana kila kona (Arumeru mmnepukutika, Arusha mmnepukutika, Kigoma mmeisha, Kagera mmnepukutika, nk nk nk)

Sababu ya kupukutika mnaijuwa vzr sana - kwamba ninyi ni watetezi wa wezi wa mali za umma - ACACIA
Mkuu nani kaitetea ACACIA???

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Nakuhakikishia kuwa nyimbo zenu labda ziimbeni 2020 - 2025 lkn kwa mwaka 2020 kazi imeisha. Mnavyotetea ufisadi na mafisadi ndivyo mnavyojichimbia kaburi la kisiasa.

Mnatetea waizi wa makinikia, Mnatetea wezi wa mikataba ya madini Feki, Mnatetea wanafunzi kupata mimba mashuleni - hapo CDM tuwachaguwe kwa lipi??

Anayeteea mafisadi ni nani? mmepewa ushauri mzuri sana wa namna ya ku deal na mafisadi umeupuuzia huko mbele itatu cost sana wengene majifanya hamjui kuwa hawa mabwana wamefungua shauri huko nje. Miaka 17 iliyopita malipewa ushauri mkakataa mwaka huummefanya hivyo tena huko mbele tutaongea siku moja kama tulivyoongea hapa leo baada ya nyinyi kuliamsha dude lenye kumiliki makinikia. Paka ukimpa nyama kumnyanganya inahitaji timing.
 
upinzani uliisha 2015 na ndio maana sasa hivi wanagombana wenyewe kwa wenyewe


upinzani ungekuwepo kama lowasa asingekuwa chadema.

Yes, that is true. Ni sawa na kumficha mwizi ndani halafu unatoka nje unaanza kupiga kelele za mwizi!
 
Mkuu nani kaitetea ACACIA???

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Hawa kujibu watataka ukamatwe kwa kuwatusi wabunge, mawaziri walokuwapo pamoja na mstahafu ananependa kutukana.
 
Mi mwenyewe sio CCM lakini kuna ka dawa kameniingia nimeanza Ku elewa....

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
 
Wanajf, salaam!!
Chama cha MAPINDUZI kwa ufupi kimemaliza kazi ya kampeni kwa mwaka 2015 - 2020. Chadema hata wafanyeje hawawezi kuipiku CCM kwa turufu ya kisiasa.

Kumbukumbu ni:-
1. Ununuzi wa ndege,
2. Ujenzi wa bomba la mafuta,
3. Ujenzi wa reli (standard gauge),
4. Mikataba ya madini mipya,
5. Kuwabana mafisadi papa,
6. Mapato ya ndani,
7. Nidhamu sekta za umma na ndani ya CCM
8. Matumizi ya fedha za umma n.k

Chadema hamna piku ya mambo haya maybe jiandaeni next season ya 2020 - 2025.
Uko sawa kabisaaaaa

Sent from my SM-E700H using JamiiForums mobile app
 
Katika nchi zilizoendelea kama USA, Japan, Canada, Norway, Sweden nk ambapo hakuna mtu anayewaza leo nitakula nini, kuna upinzani tena wenye nguvu mno.

Sasa haiingii kabisa akilini kwa mtu kufikiria kuuwa upinzani ktk nchi ya wachoma mahindi kama hii, labda huyo mtu anatuonyesha ni jinsi gani alivyo na akili finyu.

Upinzani upo ktk nchi zote duniani na utaendelea kuwepo pote na siyo lazima uwe ule wa kusajiliwa kama mtoa mada anavyofikiri.

Kwa jinsi nchi hii inavyoendeshwa, ndo upinzani utakavyozidi kushamiri hata hivi vyama vya sasa vya upinzani vife halitaepusha hilo, nakuhakikishia rafiki.
 
Asante kwa taarifa. Nadhani sasa ni muda muafaka kuwaachia waanze harakati zao za kisiasa nchi nzima tuone kama kweli hawa jamaa wamekwisha kama unavyodai.
 
Back
Top Bottom