Si bora hii ya kutisha. Uliza China na nchi nyingine zilizofanya mapinduzi ya kiuchumi watu wajinga wajinga walikuwa wanafanywaje.. uliza tuu.... wacha bana
Hao wanajulikana, walishangilia kupitisha sheria mbovu na mikataba michafu illloleta makinikia. Leo "bila ya mafanikio" wanajitahidi kujitoa fahamu na kusukumia shutuma walewale walokuwa wakiwaelimisha juu athari. Nadhani tatizo liko kwenye uwezo wa kutafakari. Watz wamekua na wameishawaelewa.Ukitaka kupima upepo basi kuwe na mazingira fair kwa wote halafu ulete kejeli zako!!. Watu wana hali ngumu we unaleta ngojera?!
1. Waulize wanachuo kuhusu mikopo watakusimulia
2. Wafanyakazi hawana hamu si mishahara wala madaraja yalioangaliwa.
3. Wakulima ndiyo usiseme wamepigwa njaa wanapokea kejeli!! Na hawa wote ni wananchi wapiga kura.
Kwenye madini nini kimebadilika?! Labda maneno
Cairo's
Wanajf, salaam!!
Chama cha MAPINDUZI kwa ufupi kimemaliza kazi ya kampeni kwa mwaka 2015 - 2020. Chadema hata wafanyeje hawawezi kuipiku CCM kwa turufu ya kisiasa.
Kumbukumbu ni:-
1. Ununuzi wa ndege,
2. Ujenzi wa bomba la mafuta,
3. Ujenzi wa reli (standard gauge),
4. Mikataba ya madini mipya,
5. Kuwabana mafisadi papa,
6. Mapato ya ndani,
7. Nidhamu sekta za umma na ndani ya CCM
8. Matumizi ya fedha za umma n.k
Chadema hamna piku ya mambo haya maybe jiandaeni next season ya 2020 - 2025.
[emoji1] [emoji1] CDM ingekua madarakani ingeyafanya hayo? Kwa uongozi wa nani labda? Yule DJ na wale Mafisadi papa. Chama kinawashinda matawi kila kukicha yanafungwa mikoani ndo wangeweza kuongoza nchi. Hebu wakati mwingine tuacheni masikhara wakati tunapoongelea vitu serious.Ifike kipindi muache ULOFA nyie vijana wa ccm.
CCM inachokifanya si kwa ajili ya kushindana na CDM.
Ipo madarakani ili iwaletee maendeleo wananchi.
Sasa inashangaza unavyogeuza wajibu wa chama kilichopo madarakani kua LIGI.
Hata CDM ingeshika dola ingeyafanya hayo au zaidi ya hayo.
Bwege wa kijani wewe.
Wanachuo wapi hao? Wakulima mbona wanapeta siku hizi? fanya 'homework' yako vizuri...Ukitaka kupima upepo basi kuwe na mazingira fair kwa wote halafu ulete kejeli zako!!. Watu wana hali ngumu we unaleta ngojera?!
1. Waulize wanachuo kuhusu mikopo watakusimulia
2. Wafanyakazi hawana hamu si mishahara wala madaraja yalioangaliwa.
3. Wakulima ndiyo usiseme wamepigwa njaa wanapokea kejeli!! Na hawa wote ni wananchi wapiga kura.
Kwenye madini nini kimebadilika?! Labda maneno
Cairo's
Kamuulize mtanzania wa kawaida maisha yake yamebadilika kwa kiwango gani!Muulize gharama za maisha zikoje!Muulize hiyo 5000 anayoingiza inatumikaje!Wanajf, salaam!!
Chama cha MAPINDUZI kwa ufupi kimemaliza kazi ya kampeni kwa mwaka 2015 - 2020. Chadema hata wafanyeje hawawezi kuipiku CCM kwa turufu ya kisiasa.
Kumbukumbu ni:-
1. Ununuzi wa ndege,
2. Ujenzi wa bomba la mafuta,
3. Ujenzi wa reli (standard gauge),
4. Mikataba ya madini mipya,
5. Kuwabana mafisadi papa,
6. Mapato ya ndani,
7. Nidhamu sekta za umma na ndani ya CCM
8. Matumizi ya fedha za umma n.k
Chadema hamna piku ya mambo haya maybe jiandaeni next season ya 2020 - 2025.
Mkuu, mwananchi wa kawaida ni yupi? Mi huwa sielewagi sawa na wale wanaosema damu itamwagika sijui wanakuwa wanamaana ya damu ya nani. Utakuta lema au mbowe anakwambia damu itamwagika sasabsijui wao ndo wanakuwa wanataka waimwage au wanategeshea wananchi wawe chambo na wao WachekeleeHayo uliyoyaorodhesha hapa yana mchango gani kwa mwananchi wa kawaida?
Acha ushabiki uliza mfano Law school kati ya 600 wamepata 16 unasemaje hapo?!Wanachuo wapi hao? Wakulima mbona wanapeta siku hizi? fanya 'homework' yako vizuri...
Hiyo Law school sio basic kwani angalau ana degree ya sheria anaweza kufanya kibarua akajiendeleza ni sawa na CPA kwa wahasibu, CPB kwa bankers na CSSP kwa Wagavi. Sasa huko Rorya serikali italea mvua Omela?Acha ushabiki uliza mfano Law school kati ya 600 wamepata 16 unasemaje hapo?!
Njoo kanda ya ziwa mfano Mara hali walionayo hasa mwambao wa ziwa !!! Halafu unawaambia walime na kiangazi??
Cairo's
Vipi wale wenye degree fresh from school unawazungumziaje ?! Na kote walikopitiwa ukame wanahitaji kufarijiwa na kusaidiwa na siyo dhihaka za kuwaambia walime kwenye jua kali as if anawasaidia kulima kila mwakaHiyo Law school sio basic kwani angalau ana degree ya sheria anaweza kufanya kibarua akajiendeleza ni sawa na CPA kwa wahasibu, CPB kwa bankers na CSSP kwa Wagavi. Sasa huko Rorya serikali italea mvua Omela?