mnyonge wa hali ya chini
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 931
- 1,172
Walianza kutangaza kuwa watatoa ajira 52000, mimi sikuona mtu hata mmoja aliyeajiriwa.
Wakasema wanaajiri watumishi 15000, pia ikaishia hewani.
Then wamekuja kusema kuwa wanataka kutoa ajira 10832,hizo pia zitaishia hewani.
Vinginevyo uniambie kuwa wanawaajiri ndugu zao tu!
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Wakasema wanaajiri watumishi 15000, pia ikaishia hewani.
Then wamekuja kusema kuwa wanataka kutoa ajira 10832,hizo pia zitaishia hewani.
Vinginevyo uniambie kuwa wanawaajiri ndugu zao tu!
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app