Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,358
- 5,845
Hili pepo la watu kutokupiga kura life..2020 pigeni kura ..watawala watambue Kuna nguvu ya ummaNdio maana mm hujikalia nyumbani kwangu na kufanya yangu sio kwenda kuhangaika kupiga kura
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app