Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,952
- 103,304
Ccm ingekuwa inakufa unadhani viongozi wenu matata wangehamia ccm kwenda kumuunga mkono Magufuli..isingetokea..ungesema chadema inakufa sababu viongozi wengi wameihama ningekuelewa..au ume confuse jombaa..!! Narudia tena..asilimia 90ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli..wewe na mmeo na watoto ndio labda mpo kwenye asilimia 10iliyobaki..hapo mnajiona kama mko weeeengi vile..eti eeh..!! Hahahah
Kama takwimu ziko hivyo mlimpora Aidan Eyakuze passport kwanini? Mmedhibiti vyombo vya habari mkidhani mtaulisha umma taarifa za kupika?