Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
sijaelewa unachotaka kusema hapa in connection to my postTo begin with, ccm hawana idadi hiyo ya wanachama, otherwise, utupe ushahidi. Wanachama wao kama ni wengi hawazidi 4 million na 80% ya hao ni wanachama wafu.
Pili, watanzania kama tuko 59 million, ujue hiyo idadi ni pamoja na watoto wanaopakatwa na woote under 18 years ambao wanaweza wakafika hata 30 million.