Uchaguzi 2020 CCM imechokwa na Watanzania tuache utani kabisa

To begin with, ccm hawana idadi hiyo ya wanachama, otherwise, utupe ushahidi. Wanachama wao kama ni wengi hawazidi 4 million na 80% ya hao ni wanachama wafu.

Pili, watanzania kama tuko 59 million, ujue hiyo idadi ni pamoja na watoto wanaopakatwa na woote under 18 years ambao wanaweza wakafika hata 30 million.
sijaelewa unachotaka kusema hapa in connection to my post
 
Viatu vyangu vya kazini vimechoka kweli, hata ukipiga rangi vinakuwa visafi tu ila mikunjo mikunjo ya uzee inabaki. Inabidi tu nivivae tena na kesho sababu mbadala wake ni ndala za kuogea na siwezi kwenda nazo kazini. Nikitoka kazini nikivivua navaa ndala angalau kidogo miguu ipate hewa lakini siwezi kwenda na ndala kazini.

CCM bado haina chama mbadala cha kukabidhi nchi zaidi ya sisi kupata ahueni kupitia wabunge. Chagueni wabunge wengi ili Utlist viatu vya uongozi wa juu vinapokuwa vimetubana siku nzima, basi jioni tuvae kandambili za upinzani kupitia bunge. (ila bado sijui kama wakiwa wengi tutaufaika au itakuwa tatizo, nasahauri kujaribu tu)
Kwa akili yako unafikiri hao watendaji serikalini ni CCM kweli au wanalinda ajira zao tu. Kikipata chama chochote hao hao wanageuka kuwa chama tawala.

Kitu chengine ni kuwa ikiwa CCM watatoka kwa uzembe wa utendaji basi wakirudi tena watarudi na adabu zao. Shubiri nayo huonjwa, Waswahili wanasema.
 
sijaelewa unachotaka kusema hapa in connection to my post
Ccm hawana idadi hiyo ya wanachama na watanzania idadi yao ya jumla ya estimated 60 million ni ya wote, sasa refer your post. If you won't understand then you won't understand it completely.
 
Ccm hawana idadi hiyo ya wanachama na watanzania idadi yao ya jumla ya estimated 60 million ni ya wote, sasa refer your post. If you won't understand then you won't understand it completely.
ok nimekupata,swali dogo,je watoto wetu pia ni watanzania ?
 
Kwa akili yako unafikiri hao watendaji serikalini ni CCM kweli au wanalinda ajira zao tu. Kikipata chama chochote hao hao wanageuka kuwa chama tawala.

Kitu chengine ni kuwa ikiwa CCM watatoka kwa uzembe wa utendaji basi wakirudi tena watarudi na adabu zao. Shubiri nayo huonjwa, Waswahili wanasema.
Kwanza watendaji hawapaswi kuwa wanachama wa chama chochote,ni bahati mbaya tu kuwa tuna kiongozi msomi ila ambaye hajaelimika na ambaye pia ni mwanasiasa uchwara ndo maana anajaribu kuichanganya serikali na chama.ila for civilized people kuna tofauti kubwa kati ya serikali na chama
 
Kwanza watendaji hawapaswi kuwa wanachama wa chama chochote,ni bahati mbaya tu kuwa tuna kiongozi msomi ila ambaye hajaelimika na ambaye pia ni mwanasiasa uchwara ndo maana anajaribu kuichanganya serikali na chama.ila for civilized people kuna tofauti kubwa kati ya serikali na chama
Nani kakwambia watendaji hawapaswi.kuwa mwanachama wa chama chochote kookote.kule duniani? Kinachokatazwa kwa watendaji ni kuonesha upendeleo katika maamuzi yao juu ya chama kimoja na kukandamiza chengine na kuwa active katika siasa. Wako waliokuwa hawatakiwi kuwa wanachama kama majaji,, vyombo vya ulinzi na usalama, na wengine kama hao.
 
Kwa akili yako unafikiri hao watendaji serikalini ni CCM kweli au wanalinda ajira zao tu. Kikipata chama chochote hao hao wanageuka kuwa chama tawala.

Kitu chengine ni kuwa ikiwa CCM watatoka kwa uzembe wa utendaji basi wakirudi tena watarudi na adabu zao. Shubiri nayo huonjwa, Waswahili wanasema.
Kama hii ni kweli kusingekuwa na machafuko ya kisiasa.
 
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama chochote cha siasa, ila Mmi ni Mtanzania ninayependa sana Nchi yangu.

Lakini kutokana na Chama hiki kushinwa kabisa kuwa na mbinu za kuwaletea Maendeleo Watanzania, niseme tu ukweli, ninatamani hiki chama kipumzishwe na tukikabidhi kazi chama kingine chochote cha siasa labda tunaweza kuona tofauti. Kwa sababu kwa CCM iliyopo ambayo imeshachoka kabisa, hata tungewapa tena miaka 50, bado tutadidimia tu, hawana jipya tena.

Kwanza tu mjue, Viongozi wengi wanaotuongoza Kutoka CCM ni wazee na wengi ni wagonjwa. Ushahidi ni wakati wa Yule babu wa Loliondo alipoamua Kugawa dawa yake maarufu Kama Kikombe cha Babu. Tulishuhudia jinsi Viongozi wetu walivyomiminika kugombea kikombe. bahati mbaya kile kikombe kilikuwa ni Tiba feki, kwa hiyo Mkae mkijua wale watu bado wanaumwa tena kwa sasa maradhi ndiyo yamekomaa, Mtu yeyote anayeumwa Mara nyingi huwa na msongo wa mawazo na Mara nyingi huwa hutumia fikra na akili zake zote kufikiri juu ya hatma ya Maradhi yake, Kwa hiyo tusitegemee lolote jipya juu ya hawa watu, ila inatakiwa tuwasaidie kuwaambia Wapumzike Wameshatutumikia vya kutosha, sasa ni Muda wetu kuwatunza.

Sababu kubwa ya JPM Kuangusha uchumi wa Nchi ni kutumia nguvu na Raslimali nyingi sana kuhakikisha anavunja nguvu ya Upinzani, badala ya Kuongoza Nchi yeye akaamua kudeal na Wapinzani. Kumbe alitakiwa tu kupiga mahesabu ya kawaida na apate majibu ya ni kwanini ni vigumu sana kuua upinzani. Matokeo yake ilipokuja ripoti ya CAG ikaonekana Tsh, 1.5 Trilion hakuna na Matumizi yake hayajulikani. Raisi mwenyewe Hiyo ripoti ilimuumiza sana, kwa sababu ninavyomjua Mimi huyu JPM ni mtu mwaminifu sana. Nina Imani alipojaribu kuwauliza watu wake walimwambia kuwa Hii 1.5 trillion ndiyo gharama ya Kukilinda Chama.

Gharama ya kuilinda CCM kwa sasa ni kubwa kuliko bajeti ya wizara yoyote ktk Nchi hii, kwa sababu kila mtu anajua, CCM Haina jipya na Muda wake umepita, CCM ya Sasa Bila Polisi haiwezi kupata hata 15% ya kura halali ktk uwanja wa Haki wa Kidemokrasia, Kamanda Siro huu ndiyo Muda wake halali kabisa kutajirika pamoja na Maafisa wake wa ngazi za juu, Ingekuwa Mimi ndiyo Kamanda Siro sasa hivi ningekuwa tajiri Mkubwa katika matajiri wa nchi hii. Potelea mbali.

Ikiwa vyama vya siasa vimezuwiwa kufanya mikutano kwa miaka 5 kinyume kabisa cha Sheria ya Nchi yetu, na wakati huo huo CCM pekee ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano na ikiwa Tv, Redio na magazeti karibu yote yanaiimbia CCM pambio na bado watu hawaelewi na hawataki kabisa kusikia CCM, ni Matokeo ya kwamba, Sikio limeshakufa, hata utie ubani kiasi gani lazima harufu itatoka tu.

Rai yangu, kwa Wahusika wote wa CCM, Nguvu Mnayoitumia kukilinda hiki Chama Cha Wazee ambacho kimeshakufa,Ni bora mkatumia fedha hizo kwa kuwekeza ktk miradi ya maendeleo kwa Mustakabali wa Uzee wenu.
Brother Nafikiri hoja ya ugonjwa si sahihi mtu yyte anaweza umwa wakati wwte na mahali popote . Kuumwa kwa mtu hakutokani na imani yake, kabila Lake, itikadi yake ya Siasa nk. Pili swala la Viongozi wazee serikali yyte Duniani haikosi kuwa na wazee hata nyumbani kwenu naamini kuna wazee. lazima watoe ushauri kwa vijana, wazee ni tunu ya Taifa bila kujalisha ni chama gani ndio mana kuna na vijana pia ktk ngzi za uongozi serikali. Ukinitolea mf wa Nchi Duniani ambayo haina Viongozi wazee kabisa ntakubaliana na hoja yako otherwise hoja yako sio sahihi.
 
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama chochote cha siasa, ila Mmi ni Mtanzania ninayependa sana Nchi yangu.

Lakini kutokana na Chama hiki kushinwa kabisa kuwa na mbinu za kuwaletea Maendeleo Watanzania, niseme tu ukweli, ninatamani hiki chama kipumzishwe na tukikabidhi kazi chama kingine chochote cha siasa labda tunaweza kuona tofauti. Kwa sababu kwa CCM iliyopo ambayo imeshachoka kabisa, hata tungewapa tena miaka 50, bado tutadidimia tu, hawana jipya tena.

Kwanza tu mjue, Viongozi wengi wanaotuongoza Kutoka CCM ni wazee na wengi ni wagonjwa. Ushahidi ni wakati wa Yule babu wa Loliondo alipoamua Kugawa dawa yake maarufu Kama Kikombe cha Babu. Tulishuhudia jinsi Viongozi wetu walivyomiminika kugombea kikombe. bahati mbaya kile kikombe kilikuwa ni Tiba feki, kwa hiyo Mkae mkijua wale watu bado wanaumwa tena kwa sasa maradhi ndiyo yamekomaa, Mtu yeyote anayeumwa Mara nyingi huwa na msongo wa mawazo na Mara nyingi huwa hutumia fikra na akili zake zote kufikiri juu ya hatma ya Maradhi yake, Kwa hiyo tusitegemee lolote jipya juu ya hawa watu, ila inatakiwa tuwasaidie kuwaambia Wapumzike Wameshatutumikia vya kutosha, sasa ni Muda wetu kuwatunza.

Sababu kubwa ya JPM Kuangusha uchumi wa Nchi ni kutumia nguvu na Raslimali nyingi sana kuhakikisha anavunja nguvu ya Upinzani, badala ya Kuongoza Nchi yeye akaamua kudeal na Wapinzani. Kumbe alitakiwa tu kupiga mahesabu ya kawaida na apate majibu ya ni kwanini ni vigumu sana kuua upinzani. Matokeo yake ilipokuja ripoti ya CAG ikaonekana Tsh, 1.5 Trilion hakuna na Matumizi yake hayajulikani. Raisi mwenyewe Hiyo ripoti ilimuumiza sana, kwa sababu ninavyomjua Mimi huyu JPM ni mtu mwaminifu sana. Nina Imani alipojaribu kuwauliza watu wake walimwambia kuwa Hii 1.5 trillion ndiyo gharama ya Kukilinda Chama.

Gharama ya kuilinda CCM kwa sasa ni kubwa kuliko bajeti ya wizara yoyote ktk Nchi hii, kwa sababu kila mtu anajua, CCM Haina jipya na Muda wake umepita, CCM ya Sasa Bila Polisi haiwezi kupata hata 15% ya kura halali ktk uwanja wa Haki wa Kidemokrasia, Kamanda Siro huu ndiyo Muda wake halali kabisa kutajirika pamoja na Maafisa wake wa ngazi za juu, Ingekuwa Mimi ndiyo Kamanda Siro sasa hivi ningekuwa tajiri Mkubwa katika matajiri wa nchi hii. Potelea mbali.

Ikiwa vyama vya siasa vimezuwiwa kufanya mikutano kwa miaka 5 kinyume kabisa cha Sheria ya Nchi yetu, na wakati huo huo CCM pekee ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano na ikiwa Tv, Redio na magazeti karibu yote yanaiimbia CCM pambio na bado watu hawaelewi na hawataki kabisa kusikia CCM, ni Matokeo ya kwamba, Sikio limeshakufa, hata utie ubani kiasi gani lazima harufu itatoka tu.

Rai yangu, kwa Wahusika wote wa CCM, Nguvu Mnayoitumia kukilinda hiki Chama Cha Wazee ambacho kimeshakufa,Ni bora mkatumia fedha hizo kwa kuwekeza ktk miradi ya maendeleo kwa Mustakabali wa Uzee wenu.
hicho chama kwisha
 
Nani kakwambia watendaji hawapaswi.kuwa mwanachama wa chama chochote kookote.kule duniani? Kinachokatazwa kwa watendaji ni kuonesha upendeleo katika maamuzi yao juu ya chama kimoja na kukandamiza chengine na kuwa active katika siasa. Wako waliokuwa hawatakiwi kuwa wanachama kama majaji,, vyombo vya ulinzi na usalama, na wengine kama hao.
Labda nikuulize tu.nani mmliki wa serikali kati ya chama cha siasa na wananchi,Pili tunaposema watendaji tunamaanisha nini? Je ni makatibu wakuu,wakurugenzi,wakuu wa idara,engineers,doctors,lawyers etc au?
 
Wakati dai la kuchokwa CCM (labda pengine unamaanisha kiongozi/viongozi wake) huko pengine ndio hovyo kabisa. Hakuna utaratibu mahususi wa kupata viongozi unaojulikana zaidi ya kuona kuna dalili na viashiria vya ukand au udini au Kuna Wenyeviti maalum na Viongozi maalum)

So bado tuna mwendo mrefu wa kufikia tunachokihitaji mpaka kukifukia.
Watanzania gani hao unaowazungumza hapa? Naona kama mmechanganyikiwa sasa. NOT TRUE!
 
Umeongea utumbo mtupu jombaa...kwanza sijui unawasemea watanzania asilimia ngapi..kwa sababu asilimia 90 ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli na serikali yake.. unasikia kila kukicha wananchi wakipongeza juhudi znazofanywa na serikali hii..hili halina doubt kabisa..
Lengo la andiko lako ni kutaka kupewa uhuru wa kufanya siasa tuu..huko kwingine koote ni blabla za utumbo wa mbuzi..kwani nani kakukataza kufanya mikutano kwenye majimbo yenu..mmeelekezwa fuateni sheria na taratibu..tatizo lenu nyinyi wanaharakati mnataka kujiamulia tu chochote kinachokuja kichwani mfanye..hivi hamjifunzi hata kwa wenzenu..
2020 mkiiba kura wananchi tutatafuta njia yoyote mbadala ya kuiondoa ccm for once and for all.

Mark my words.
 
Unajua kubaki njia kuu inahitaji moyo wa kipekee,kwa sasa hata wakifanya nini michepuko lazima
 
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama chochote cha siasa, ila Mmi ni Mtanzania ninayependa sana Nchi yangu.

Lakini kutokana na Chama hiki kushinwa kabisa kuwa na mbinu za kuwaletea Maendeleo Watanzania, niseme tu ukweli, ninatamani hiki chama kipumzishwe na tukikabidhi kazi chama kingine chochote cha siasa labda tunaweza kuona tofauti. Kwa sababu kwa CCM iliyopo ambayo imeshachoka kabisa, hata tungewapa tena miaka 50, bado tutadidimia tu, hawana jipya tena.

Kwanza tu mjue, Viongozi wengi wanaotuongoza Kutoka CCM ni wazee na wengi ni wagonjwa. Ushahidi ni wakati wa Yule babu wa Loliondo alipoamua Kugawa dawa yake maarufu Kama Kikombe cha Babu. Tulishuhudia jinsi Viongozi wetu walivyomiminika kugombea kikombe. bahati mbaya kile kikombe kilikuwa ni Tiba feki, kwa hiyo Mkae mkijua wale watu bado wanaumwa tena kwa sasa maradhi ndiyo yamekomaa, Mtu yeyote anayeumwa Mara nyingi huwa na msongo wa mawazo na Mara nyingi huwa hutumia fikra na akili zake zote kufikiri juu ya hatma ya Maradhi yake, Kwa hiyo tusitegemee lolote jipya juu ya hawa watu, ila inatakiwa tuwasaidie kuwaambia Wapumzike Wameshatutumikia vya kutosha, sasa ni Muda wetu kuwatunza.

Sababu kubwa ya JPM Kuangusha uchumi wa Nchi ni kutumia nguvu na Raslimali nyingi sana kuhakikisha anavunja nguvu ya Upinzani, badala ya Kuongoza Nchi yeye akaamua kudeal na Wapinzani. Kumbe alitakiwa tu kupiga mahesabu ya kawaida na apate majibu ya ni kwanini ni vigumu sana kuua upinzani. Matokeo yake ilipokuja ripoti ya CAG ikaonekana Tsh, 1.5 Trilion hakuna na Matumizi yake hayajulikani. Raisi mwenyewe Hiyo ripoti ilimuumiza sana, kwa sababu ninavyomjua Mimi huyu JPM ni mtu mwaminifu sana. Nina Imani alipojaribu kuwauliza watu wake walimwambia kuwa Hii 1.5 trillion ndiyo gharama ya Kukilinda Chama.

Gharama ya kuilinda CCM kwa sasa ni kubwa kuliko bajeti ya wizara yoyote ktk Nchi hii, kwa sababu kila mtu anajua, CCM Haina jipya na Muda wake umepita, CCM ya Sasa Bila Polisi haiwezi kupata hata 15% ya kura halali ktk uwanja wa Haki wa Kidemokrasia, Kamanda Siro huu ndiyo Muda wake halali kabisa kutajirika pamoja na Maafisa wake wa ngazi za juu, Ingekuwa Mimi ndiyo Kamanda Siro sasa hivi ningekuwa tajiri Mkubwa katika matajiri wa nchi hii. Potelea mbali.

Ikiwa vyama vya siasa vimezuwiwa kufanya mikutano kwa miaka 5 kinyume kabisa cha Sheria ya Nchi yetu, na wakati huo huo CCM pekee ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano na ikiwa Tv, Redio na magazeti karibu yote yanaiimbia CCM pambio na bado watu hawaelewi na hawataki kabisa kusikia CCM, ni Matokeo ya kwamba, Sikio limeshakufa, hata utie ubani kiasi gani lazima harufu itatoka tu.

Rai yangu, kwa Wahusika wote wa CCM, Nguvu Mnayoitumia kukilinda hiki Chama Cha Wazee ambacho kimeshakufa,Ni bora mkatumia fedha hizo kwa kuwekeza ktk miradi ya maendeleo kwa Mustakabali wa Uzee wenu.


UMEONGEA KWELI TUPU MKUU,NATOA WITO KWA WANANCHI WENGINE WALIOPO KWENYE JUKWAA HILI WAWE WANAPOST MAKALA YA KUJENGA NCHI YETU NA KUIKOMBOA NCHI YETU KAMA MAKALA HII.UTAPATA THAWABU KWA MUNGU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom