Takwimu zinasema mpaka sasa asilimia 90ya wananchi wapo nyuma ya Magufuli..nyie mliobaki asilimia 5 hamna impact..endeleeni kutapatapa..asilimia 5 iliyobaki hawapo popote..wao wanataka mazingira bora tu ya kilimo, pembejeo, bei nzuri za mazao, of which serikali hii ndio inatekeleza...sijui upo..! Umebaki kulialia kama mama mjamzito..hahahahUkiona mtu yeyote Leo anaitetea CCM basi jua huyo ni kula kulala, labda baba, mama, shangazi au mjomba anafanya kazi CCM na yeye ni kijana wa nyumbani. Hakuna mtu yeyote Tanzania hii Leo mwenye akili timamu asiyejua kuwa CCM ni ya Wazee kwa hiyo imechoka na haina mbinu mpya tena.