Msemaji wa CDM!!sasa hivi umelowa huko!
pole sana kwa muweweseko, baada ya mgombea Wa UKAWA kutangazwa upepo wa kisiasa nchini utageuka na hotojua Magufuli kafia wapi, habari ya mujini itakuwa UKAWA
Msemaji wa CDM!!sasa hivi umelowa huko!
Chadema chadema chadema chadema ukawa ukawa ukawa ukawa lowassa lowassa lowassa duni duni duni,ushindi ushindi ushindi 2015 , 2015,2015 ni wahakika hakika hakika
Hata Mimi CCM ni chama changu lakini kwa kweli CCM inashindwa kusimamia misingi ya haki na utawala bora ili raia wake waendelee, dhuluma ya ardhi ni kibao, wazazi wangu wote wamekufa na kesi za ardhi na mpaka Leo ni kitendawili. wizi mtupu serkalini, usiende polisi au mahakama au hspitali . Shule nalipa toka vidudu, michango , michango , michango. Wenye pesa ni wafanya kazi serikalini, na mishahara Yao wala siyo mi kubwa, vijana Hawana kazi, mpaka unasikia uchungu, Michezo imekufa, DSM hakuna viwanja, watoto wameamua kuanzisha jogging. Clubs wakimbie barabarani, Barabara zenyewe nyembamba, unaogopa Kama mtoto, yupo salama. Mimi naamini tukikaa nje ya madaraka miaka mitano tutarudi na chama imara. Leo tukishinda tena subiri kura za maoni miaka mitano mambo Yale YaleDah...umegonga mule mule..so SAD
Jee Chadema sasa imeishajipanga na iko tayari kukabidhiwa nchi hapo October 25?.Wanabodi,
Nikiwa hapa Dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa CCM na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde,
Nilipoongea na baadhi ya wale makamanda waliokata magogo kanda ya ziwa, nimewaona ni wa kawaida tuu, hivyo nimefikia jibu moja la uhakika, kuwa CCM katika baadhi ya maeneo, imechokwa mpaka basi!, upinzani hata ungesimamisha jiwe, lingechaguliwa!
Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.
Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu japo kipo juu, lakini bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa.
Kwa vile CCM imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, Watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.
Jee Chadema sasa imeishajipanga na iko tayari kukabidhiwa nchi hapo October 25?.
Pasco