Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Baada ya ukombozi wa pili utadai wa tatu na wa nne!
Ukombozi wa kumuondoa kijanai,
utafanikiwa kama kuna nia ya dhati, pasipo unafiki wala uroho wa madaraka kwa UKAWA
Natangaza nia yakuliombea taifa kupata raisi bora kupitia ukawa
1.Kuporomoka kwa thamani ya shilingKi
2.ufisadi uliokithiri
3.kupitishwa kwa sheria zisizo na tija kwa wananchi
4.Hali ngumu ya maisha
5.kuagiza kila kitu kutoka nje
6.wimbi la vijana wanaomaliza shule ya msingi na sekondari wasiojua kusoma na kuandika
7.viwanda kufungwa
8.vingozi wa serikali kutajirika na kuhodhi maeneo makubwa kila kona ya nchi
9.wabunge kutokua na michango ya msingi bungeni, wanabaki kushukuru waume zao badala ya kuchangia mada za msingi
10.kupotea kwa uzalendo kwa watanzania wengi
CCM mmeweza kutunza amani tu, lakini kwa matatizo hayo hapo juu na mengine wanajf watakayoongezea ,amani hii itaenda kupotea muda si mrefu, natamani turewind mpka 1995 alafu nchi ipewe upinzani labda mambo yangekua tofauti, kila nkiwaza nchi ilipokua na 1995 na ilivo saivi ni sawa na kwenye mashindano ya magari tukashindana alafu tulivofika mwaka 95 tukaweka rivasi, kila sekta ina malalamiko, CCM ni chama changu lakini sidhani kama nipo radhi kupoteza miaka kumi mingine, watanzania tubadilike tusisubiri mpaka dola moja iwe elfu kumi ndo tufanye mabadiliko, tujaribu kufanya mabadiliko tuwape upinzani nchi tuone watafanya nini maana Ccm hawana jipya zaidi ya kututia hasira na mambo wanayofanya, I stand to be corrected, ila lets make a change in the political party and see where that gets us.
Nawasilisha kwa uchungu
Ukweli ni mchungu.
Umbea ni mtamu.
Rais atatoka CCM na hii ni kutokana na wakuu(kuona kwamba bado wanawasikilizwa)
Wakuu weshampa Kila anachokihitaji na tayari kesha kuwa tishio kwa wagombea wengine.
Kwa upande wa wananchi na vyama pinzani.
Wengi ni wanafiki katika vyama vya upinzani hawana lolote manake weshanunuliwa.
Wananchi wamebaki kulalama wakidhani msaada utatoka ama CCM au UPINZANI
Bila kujua wote ni wasanii.
Freemason oyee
Na Shikamoo
Kwa sauti ya Gjma.:A S wink:Umekula maharage ya wapi wewe?
Umekula maharage ya wapi wewe?