CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Wananchi wazalendo na raia wema wa Tanzania, YADUMU MABADILIKO
Nimekaa nikatafakari kwa hali ya uchaguzi huu chama dola yaan CCM inapata wakat mgumu sana katika kampeni zake. Na hii nlidhan ninkwa miji mikubwa tu ama kwa vijana tuu ila hata wazee vijijin wanawaza kubadilika. Hali hii ni tofauti sana na awamu zilizopita sasa jee binafsi chama tawala kimekukosea nini

1. Ajira
2. Kashfa za Wizi na ufujaji fedha za umma.
3. Miundo mbinu mibovu
4. Ubabe ubabe mwingi katika maamuzi yao ikiwemo maamuzi ya katiba?
5. Uporomokaji wa sekta ya Elimu Tanzania.
6. Uporomokaji wa Thamani ya fedha (Tsh)
7. Kudorora kwa sekta ya afya kwa kukosekana kwa vifaa tiba na hospitali za kutosha nchini.

Unaweza chagua kati ya hizo na kuzichambua haswa kero yako inayosababisha msukumo wa mabadiliko nchini. Pia unaweza ongeza lile ambalo umeona limesahaulika.

Naomba niwasilishe
 
zote zina wahusu, hiyo namba 4, ilisababisha niinyime kura ccm.
 
Wananchi wazalendo na raia wema wa Tanzania, YADUMU MABADILIKO
Nimekaa nikatafakari kwa hali ya uchaguzi huu chama dola yaan CCM inapata wakat mgumu sana katika kampeni zake. Na hii nlidhan ninkwa miji mikubwa tu ama kwa vijana tuu ila hata wazee vijijin wanawaza kubadilika. Hali hii ni tofauti sana na awamu zilizopita sasa jee binafsi chama tawala kimekukosea nini

1. Ajira
2. Kashfa za Wizi na ufujaji fedha za umma.
3. Miundo mbinu mibovu
4. Ubabe ubabe mwingi katika maamuzi yao ikiwemo maamuzi ya katiba?
5. Uporomokaji wa sekta ya Elimu Tanzania.
6. Uporomokaji wa Thamani ya fedha (Tsh)
7. Kudorora kwa sekta ya afya kwa kukosekana kwa vifaa tiba na hospitali za kutosha nchini.

Unaweza chagua kati ya hizo na kuzichambua haswa kero yako inayosababisha msukumo wa mabadiliko nchini. Pia unaweza ongeza lile ambalo umeona limesahaulika.

Naomba niwasilishe

Of course ni kweli mkuu ccm wanawakati mgumu sana maana hata matangazo yao wanawatangaza wasanii wataokwepo kutumbuiza poor ccm!!!! Nimesikia tangazo lao hapa bmoyo makomeo anakuja leo cha ajabu tunaambiwa diamond,masanja,joti watakwepo what for?
 
CCM ni dhaifu, imeshindwa kazi. Haitoi matumaini tena kwa Mtanzania mlalahoi. Angalia wanaoipigania kwa nguvu ni wale walionufaika na ufisadi wa CCM na wanapigana kufa na kupona ili makaburi yao yasifukuliwe.

Shime Mtanzania jitambue usiipe kura yako CCM kamwe kwani hata huyo Magufuli anayeaminiwa sasa hana ujasiri wa kuubadili mfumo wa CCM na kuwa wa matumaini.
 
Hii misemo ya kitoto sana, haiwezekani kwa viumbe ambavyo sio binadamu, FUNGUA UBONGO WAKO, Je kwa title na maelezo yako, MTOTO WA MASKINI KAMWE HATOKUJA KUJIWEZA KIFEDHA. Hopeless kabisa, ni losers who dont find a way out!
 
Ni sawa kabisa,hata lile tunda likidondoka ktk mti wake mbaya nalo huendelea kuwa baya tu ata kama likiwekwa kwenye fungu la matunda mazuri,yatanunuliwa mazur tu baya likaachwa na kuoza.
 
Watanzania tunachoangilia kwa sasa ni MTU na wala siyo chama.
 
CCM ni dhaifu, imeshindwa kazi. Haitoi matumaini tena kwa Mtanzania mlalahoi. Angalia wanaoipigania kwa nguvu ni wale walionufaika na ufisadi wa CCM na wanapigana kufa na kupona ili makaburi yao yasifukuliwe.

Shime Mtanzania jitambue usiipe kura yako CCM kamwe kwani hata huyo Magufuli anayeaminiwa sasa hana ujasiri wa kuubadili mfumo wa CCM na kuwa wa matumaini.

Huna jipya, ww ni sawa na debe tupu, huwezi kuwa na uhakika na kitu ambacho hakijawahi kufanya kazi, na ni ajabu kumwamini mtu kwa maneno yake ya mdomoni, na hili ni tatizo kubwa kwa watanzania wa namna kama ya kwako. Makufuri ndo mpango mzima.
 
Nasema hivi kwa kuwa CCM ilipofika nikama imeisha kufa bali inapambana na roho!Kwa mambo iliyoyafanya ni dhahiri haikwepeki safari hii itawakuta.

Siyo kwamba hamjafanya zuri la asha ila kwa kero kwa wananchi ndiyo maana mnahukumiwa! Musoma hawawapendi kwa nini?wakati ndiyo nyumbani kwa muhasisi wa Taifa hili??

Kuna vitu vingi vinawahukumu moja ni ufisadi katika taifa hili, Rushwa katika taifa hili,Maisha magumu kwa wananchi hili nitatizo kubwa, utofauti kwa wenyenacho na wasiokuwa nacho!,kulisishana madaraka kutoa ajira kwa upendeleo kwa watoto wa vigogo!na wakipita mtaani wanawadharau watoto wa makabwera,hii yote imeleta hasira na chuki juu ya CCM.

Tathimini ya haraka chama kinacho chukiwa ni CCM,sababu kubwa ni maisha magumu kutokuwa na ajira viwanda mmeua lazima CCM mhukumiwe.
 
Chaguweni MTu sio CHama kwani kuna mtu anaye weza aminiwa kwa utendaji wake na uwadilifu, hadi akapewa Jina la uchapa kazi na wapinzani waliona umahiri wake sasa leo hao walio msifu kwa ubora wake wameleta yule walio mtukana kwa wizi wake kuwa ndio bora kuliko yule walio msifu kwa uadilifu na uchapa kazi mzuri!!!!!!!! Embu tafakarini na hili Jamani
 
Mkuu ccm siyo kuwa imekufa tu baada ya kufa inanuka
 
1. mchakato wa rasimu ya katiba walifanya ubabe kupitisha mambo yanayotoa nafasi viongozi kufisadi

2. sheria ya mitandao wamefanya ubabe mwingi kulinda maslahi ya viongozi sio ya nchi, hawakutaka kabisa kushirikisha wataalam

3. miswada ya sheria za gesi kupitishwa chap chap utafikiri sheria ya maandazi

4. kuvunjwa sheria na kutoii maamuzi ya bunge kuvuruga bajeti kuongeza posho za wajeshi na kulipa madeni walimu bila kupitishwa bunge la bajeti.

Imetoshaaaas
 
Back
Top Bottom