Ni kweli ccm wote ni mafisadi kwa muda mrefu lkn wanarepent kwa vitendo taratibu umeuona akina lowassa japo ni scape goat, wengi wako mahakamani km akina Seth n.k.
Mahakama ya mafisadi haina kesi right now kwa sab mfumo wa kesi hizi zinaanzia chini mpk ushahidi ukamilike zinafikishwa mahakamani kwa mfano mzee kitilya ataenda huko, wa nida ataenda, Seth ataenda huko na wengine wengi kesi zipo kwenye mahakama za wilaya, mahakama ya mafisadi ni mahakama kuu haianzi na kesi bali inamalizia lkn imewekewa kiwango cha pesa zitakazohusika na ufisadi husika ni kuanzia 1B na kuendelea hivyo kesi za ufisadi zenye kiwango cha chini ya hapo ziko nyingi sana mahakamani hii imesababisha nidhamu maofisini kurudi na hili liko wazi kwa mtanzania yeyote anayehudumiwa na ofisi za serikali hali imepelekea mataifa ya nje kuisifia Tanzania kwa hatua hii ya upambanaji kuanzia tumbua tumbua mpk kukamatwa na kushitakiwa baadhi ya wafanyakazi wake kwa jinsi ccm ilivyooza kwa muda mrefu hatua inayoendelea sasa ni remarkable achievement. Hii ni serikali yenye dira ya kueleweka na ya vitendo kuliko serikali zote zilizopita imevunja rekodi nyingi za ukusanyaji wa mapato kuanzia kodi mpk madeni ya wanafunzi wa vyuo vya juu.