Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,469
- 122,788
Hakuna ushahidi wa arumeru ni fununu tu na flash.
Ushahidi ni sababu zilizotolewa kumaliza hilo sakata. Ni hivi rais hapinagi na rushwa kama anavyotaka tuamini, bali anafanya vita vya rushwa kama sehemu ya kumpatia credit. Ila tushamjua tunamchora tu.