johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,954
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa........!Ukiwagusia hilo suala hawa makamanda uchwara wanakuwa wakali kama mbogo.
Hahahaaaa........!Ukiwagusia hilo suala hawa makamanda uchwara wanakuwa wakali kama mbogo.
Kwa upande wangu:Kama unataka kujishirikisha na chama kinachoheshimu demokrasia basi nenda CCM na kamwe usiguse CUF, Chadema wala Nccr Mageuzi.
Rekodi ya Mbowe na Prof Lipumba kukaa muda mrefu madarakani haijawahi kuwekwa na mwenyekiti yoyote wa chama cha siasa hata Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekiti wa CCM kwa miaka isiyozidi 14 (siyo Tanu)
Nawatakia Sabato yenye baraka!