CCM imebadilisha wenyeviti mara 4 lakini wenzao CUF na Chadema wako wale wale Prof Lipumba na Mbowe

Tofauti ni kwamba CCM hakuna uchaguzi wakati CHADEMA kuna uchaguzi.

Wewe hushangai tangu 1977 ni CCM tu ndiyo inaongoza Tanzania. Kwa nini isitoke vyama vingine vitawale!??

Hao wenyeviti wanne kuna ambaye si Rais. Ina maana Ili uwe na sifa ya kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa ni LAZIMA uwe Rais!!??
 
Kama unataka kujishirikisha na chama kinachoheshimu demokrasia basi nenda CCM na kamwe usiguse CUF, Chadema wala Nccr Mageuzi.

Rekodi ya Mbowe na Prof Lipumba kukaa muda mrefu madarakani haijawahi kuwekwa na mwenyekiti yoyote wa chama cha siasa hata Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekiti wa CCM kwa miaka isiyozidi 14 (siyo Tanu)

Nawatakia Sabato yenye baraka!
Kwa upande wangu:
1. Hakuna chama kinachoweza kutumiwa kama kipimo cha vyama vingine vya siasa.
2. Siyo lazima vyama vingine vifuate utaratibu wa CCM.
3. Kila chama kina utaratibu wake wa kujijenga na kwa namna inavyoona inafaa kwa wakati huo.
4. Kila chama kina 'strengths' za kuigwa and 'weaknesses' za kuepuka.
 
Back
Top Bottom