Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Atavuna anachopanda , 2015 alibebwa tu , mambo ya uchaguzi hayajui huyu
Mwenyekiti wa ccmNani huyo?
Mwenyekiti wa ccm
Mungu hadhihakiwiWatu wa CCM ndiyo wajue kuwa huyo Jiwe anajiona kama mungu mtu.
Anaamini pia kila aliamualo ni perfect by 100%
Hivi uchaguzi ni lini wa chama kubwa.Chama ni mali binafsi ya mtu siyo mali ya wanachama tena
Hakuna uchaguzi wala msajili huwezi kumuona anga hizo.Hivi uchaguzi ni lini wa chama kubwa.