Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.