johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,956
Kwanza majina ya akina Halima James Mdee na wenzake yalipelekwa bungeni na Dr Mahela wa NEC akidai amepewa na Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika.
Pili Chadema walipokea rufaa za hao covid 19 ila bado hawazitolea maamuzi kwa mujibu wa katiba yao.
Hivyo CCM ishughulike na mwanachama wake Job Ndugai hao wengine hawawahusu.
Au nasema uwongo ndugu zangu?
Pili Chadema walipokea rufaa za hao covid 19 ila bado hawazitolea maamuzi kwa mujibu wa katiba yao.
Hivyo CCM ishughulike na mwanachama wake Job Ndugai hao wengine hawawahusu.
Au nasema uwongo ndugu zangu?