CCM haina wanachama milioni 13

CCM haina wanachama milioni 13

Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Ebu tujiulize kwanini watu katika namna yoyote inayotumika wanaenda kujaza hiyo mikutano ya Ccm?
Mimi nilidhani kwa kuwa weng hawakipend hiko chama basi hata kama wanapewa bakshishi waikatae ili kuonesha wapo serious kuikataa fisiemu.

sasa kitendo cha mtu kukubali kubebwa na kupelekwa kwenye mkutano wewe hakikupi maswali ?
 
Gentleman,
wajibu wangu ni kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu, kazi hii hua ni ya kizalendo na haichoshi kwasabb kuna Neema na Baraka za Mungu ndani yake 🐒
Acha kuharibu maana ya Uzalendo wewe mjinga

Uzalendo sio kutetea viongozi waovu wewe pimbi
Huo unaitwa uchawa
 
sasa kitendo cha mtu kukubali kubebwa na kupelekwa kwenye mkutano wewe hakikupi maswali ?
Maelfu ya watu huko mashambani na vijiji hawajui tofauti kati ya CCM na serikali. Wewe wazia Polisi anawezaje kumuuliza mtu ni nani "balozi" wake kwenye zama hizi!!
 
Hata kama kuna mtu atataka akubishie ila ukweli huwa ni ngumu sana kuuficha ukianza kujitenga na uongo.

Kimsingi watu wengi wanaomba kadi za chama CCM ili kupata faida za kuwa mwanachama wa CCM.

Maana kuna fununu za kusadikika kuwa hawa jamaa huku ground wanatoa mikopo,nafasi za kazi na mengineyo kwa kuzingatia muombaji awe na kadi ya chama a.k.a Kada. Kinyume chake ni kuzungushwa na kusumbuliwa especially akionyesha ana uanachama wa chama upinzani especially Chadema.

So nadhani hoja yako inakuwa na mashiko zaidi ukitazamia huo uhalisia.
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Kuwa na wanachama na kukubalika ni vitu viwili tofauti ...ndiyo maana Samia kaogopa democracy hadi ndani ya chama chake mwenyewe ....asilimia 90 ya wanaccm awamkubali Samia
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Watu wanachukua card za ccm kwa maslai mengine siyo kwamba wanamkubali samia au ccm
 
Kipimo cha CCM ni kampeni za wabunge hazina watu

Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Unakwenda kusikiliza kitu gani? Yaani leo Mgombea Urais wa CCM anaahidi kujenga barabara ya lami yenye urefu wa KM 11 halafu unakwenda kumsikiliza. Huo ni uharibifu wa muda wa kunywa bia
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Wenzako wana sayansi yao kipekee sana hivyo pambana
 
Hawalazimishwi wote ingawa wapo wanaolazimishwa... Wengi wao hughilibiwa!
WEwe binafsi au mimi na wengine kwa nini hutughibiliwi ?
Huoni kwamba hakuna solidarity tunayohisi ipo ?

Kwa mfano mimi mkoa niliopo nilisikia gari la matangazo linahamasisha watu waende kumsikiliza mgombea wa fisiemu. Mimi binafsi sikwenda ila wapo waliokwenda. Huoni kwamba kitendo cha watu hao kwenda kinatoa picha isiyo nzuri.
 
Maelfu ya watu huko mashambani na vijiji hawajui tofauti kati ya CCM na serikali. Wewe wazia Polisi anawezaje kumuuliza mtu ni nani "balozi" wake kwenye zama hizi!!
Kwa hoja yako ina maana fisiemu bila hata kuchachua mifumo wana uhakika wa kupata kura za hao wa huko mashambani na vijijini.
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Sawa. Tumekuelewa. Kwahiyo hiyo ndio sababu hampigi kura?
 
Mifumo inasomana... Hawa kina Tlaatlaah ni kama rangi tu kwenye basi... Rangi iwepo ama isiwepo haifanyi injini ya gari kuwa imara...

Afadhali cocochanel akili inasepa mara inamrudia😃😄

Muda bado wa kuburudika humu ndani
Mwaka huu ni kazi iendeleee 😀

Nimewaachia wengi waburudike.. bado nasoma naandikaje... si unajua mie mdau wa JF na keyboard yangu basi... napenda kuwachokoza iwe iwe

mida hii nafiiria nataka niwe kama kyagata upande wa kike, nivunje rekodi nikitambua malengo.. niliyemjua mmoja tu... mume wangu wangu sukari yangu ni M.G. wa miaka yote labda nijipe adivencha nami nisalimie wa makabila 124 yaliyobaki.... ila puchi no coz no kukutana hiyo me naaaah...
 
Back
Top Bottom