CCM haina wanachama milioni 13

CCM haina wanachama milioni 13

Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Hawafiki hata laki saba
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.


Misukule ndo mingi na si watu walio hai kichwani
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Waliposema wana wanachama milioni kumi na tatu ilikuwa ni maandalizi ya kisaikolojia ili kura ziibwe.Stay alerted!
 
Mim nakuambia ngoja siku ya kupiga kura..utajionea maajabu ...10% tu watapiga kura...tena Hawa watakua mapumbaza ya ccm na wajinga wajinga wasio na akili.
 
Sasa mkuu unataka hao wanachama milioni 13 wahudhurie kila mkutano.
 
Mikutano ya huyu bibie inajazwa na watu wa msafara wake tu na wale wachache wanaowasomba kwenye malori...

Wanachofanya ni recycling...

Watu waliokuwa Morogoro mjini ndio haohao utawakuta Ifakara, Mikumi au Kilosa na ndio hao watakuja mpaka Kigoma na kila sehemu watakakokwenda....

Ndio maana wanachoka na kuanguka hovyo. Mwisho tutaanza kuokota maiti zao, subirini tu...

Yaani hawa jamaa wanadanganya watu na mwisho wanajidanganya wenyewe...!!
 
Jukwaa limefungwa hila hamuachi kuleta mada chochezi
Mnatutaka nn jmn😆
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Hizo takwimu ni uchakachuaji wa taarifa za NIDA, hawakujua wataumbuka
 
Namba1.ccm n kama jeshin n ndiyo t.namba 2 lazma kchwan uwe kopo tupu. Namba 3 lazma uwe na akili kama zako.
 
Hizi heka heka za CCM kupambana kujaza watu kwenye mikutano yao, ni ishara kuwa siyo kweli CCM ina wanachama milioni 13.

Kila mkutano ungehudhuriwa na watu elfu kumi tu, nchi nzima CCM ingehitaji watu milioni Moja tu kwa mikoa yote ya Tanganyika.

Lakini hii ya kusomba watu kwa maroli ni ishara kuwa CCM ilitoa takwimu za uongo kuwa chama chao kina wanachama milioni 13.
Hehehe
 
huenda wapiga kura zaidi ya milioni 31 wakampigia kura Dr.Samia Suluhu Hassan oct.29,2025.🐒
Gentleman hii idadi ndio mliipanga kwenye vikao vyenu vya Siri? Inaendana sana n tume ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom