Uchaguzi 2020 CCM haifai, tatizo ni Upinzani hauna sifa za kutawala nchi. Inabidi tuvumilie tu

Bashite umetoswa hata ukilamba miguu October 28 mboko ziko pale pale.
 
Nakumbuka sana! Ila naelewa kwamba kila mtu ana ignorance ya aina fulani ktk maisha yake. Tunataka watu wawe na ufahamu lakini ule ufahamu wenye manufaa. Kuniambia ibara ya 15 ya katiba inasema hivi na vile sioni kama ni uelewa utunaouhitaji ktk kuendeleza nchi, haina tofauti na kuniuliza mkwawa alipigana mwaka gani, what for? Ukitaka JF ya kuelimishana njoo kwa mjadala. Ukitaka JF ya kampeni na ushindi wa Lissu kuwa rais wa mtandaoni, nasema sina muda ila ataishia kulialia kwa madai ya kuibiwa kura.

Natamani Lissu afahamu Laws of Universe, atueleze njia ya kupita ili kufika fourth industrial revolution, atueleze technology acqusition (siyo transfer), aeleze industrial growth (siyo utapeli wa capital investment), yapo mengi ninayoweza kumuongoza kama angekuwa na kichwa kizuri. sasa yeye anakuja na hadithi za kutunga na kusimamia sheria! Ili iweje? Afunge waliompiga risasi au nini? Eti demokrasia, ipi hiyo wakati anajua CHADEMA ilifukuza wote waliotaka nafasi za wateule. Kama hawezi kuuliza kwa nini Uganda bei ya kahawa ni kubwa kuliko TZ, huyo utamshauri nini? Kwani anayenunua kahawa Bukoba na uganda ni serikali?
Wewe unaongelea Industrial Revolution wakati hata Agricultural Revolution imekushinda! Huwezi kwenda sekondari wakati hata shule ya msingi imekushinda kwa miaka 60.

Hata kama anayenunua kahawa Uganda sio serikali hiyo sio hoja, swala ni kuwa mnunuzi wa Uganda ana offer nzuri kuliko wa Tanzania na ndio maana wauzaji wanaomfuata huko Uganda.

Kama waliompiga risasi ndio hao hao wanaotawala na wanajiona wako juu ya sheria kwa wakati huu wako madarakani kuna ubaya gani wakitolewa madarakani sheria ikachukua mkondo wake maanake hakuna aliye juu ya sheria.

Kuhusu wizi wa kura, ni nani asiyejua kuwa kwa zaidi ya miaka ishirini sasa ccm imekuwa ikitawala hii nchi through the dubious if not fake mandate owing to the lack of independent electoral commission to oversea the elections.
 
Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.

Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.

Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.

Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?

1. CCM inaonekana ipo imara kwa sababu inachanganya siasa na dola, ukumbuke kila mtanzania anahusika katika kujenga nchi, hivyo tenganisha technocrats na CCM,
2. Mhe. Membe ametoboa siri ya mbinu za CCM kupata ushindi - mbinu za chini ya jukwaa la siasa,
3. Kama vyama vingine vinashinda kihalali, kwa nini wasiaongoze nchi ili tuone uwezo wao, mbona tumejaribisha watu miaka ya nyuma wakawa wabovu na muda wao ulipoisha waliondoka?

Video kwa ajili ya namba 2.

 
Wewe unaongelea Industrial Revolution wakati hata Agricultural Revolution imekushinda! Huwezi kwenda sekondari wakati hata shule ya msingi imekushinda kwa miaka 60.

Hata kama anayenunua kahawa Uganda sio serikali hiyo sio hoja, swala ni kuwa mnunuzi wa Uganda ana offer nzuri kuliko wa Tanzania na ndio maana wauzaji wanaomfuata huko Uganda.

Kama waliompiga risasi ndio hao hao wanaotawala na wanajiona wako juu ya sheria kwa wakati huu wako madarakani kuna ubaya gani wakitolewa madarakani sheria ikachukua mkondo wake maanake hakuna aliye juu ya sheria.

Kuhusu wizi wa kura, ni nani asiyejua kuwa kwa zaidi ya miaka ishirini sasa ccm imekuwa ikitawala hii nchi through the dubious if not fake mandate owing to the lack of independent electoral commission to oversea the elections.
Sisi tunazungumzia maendeleo wewe unaleta mambo ya kilimo, vipi wewe? Kuna nchi unayofahamu kwamba iliendelea kutokana na agric. revolution? Taja moja tu!

Wewe ni CHADEMA? Naona unatetea kama M/kiti vile! Binafsi naona kama unapoteza muda. Kama unajua kuna wizi wa kura, unashiriki uchaguzi ili ukusaidie nini? Usishiriki mchezo wa wezi, wa kijinga!
 
Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.

Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.

Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.

Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?

Mi sijakuelewa sifa ya kutawala nchi kivipi Kwani si kuna Sifa ya mtu kuhombea urais ambayo imeainishwa kisheria unataka sifa ya kutawala kivipi Kwani mtu mkishatawala anaruhusiwa kugombea tena ili aomekane ana usoefu.hivi kuna kazi gani kuwatawala watanzania
 
UPUUZI MTUPU! Hiyo tathmini kwamba upinzani hauna sifa ya kutawala Nchi uliufanya lini na wapi? Na ulitumia vigezo gani kufikia hitimisho lako? Tuondolee UPUMBAVU wako hapa!
Pole Boss! Ulidhani kazi yetu ni kuilaani CCM tu kila siku bila kuangalia baada ya CCM nani anafaa? Kwa mfano, Kama hata nawe una nafasi CHADEMA, hainekani kama unafaa kwa lolote, labda upate nafasi ya kusimama nyuma ya mgombea.
 
Acha ujinga wewe! Nani alikuyekudanganya kila mtu anataka kuwa mwanasiasa? Kupinga maovu ya KICHAA na maccm haina maana nataka kuwa mwanasiasa.

Sasa unahitimisha vipi Chadema hawafai kwa kuimba kama kasuku tu? Ukiulizwa ni vigezo vipi ulivyovitumia unang’aa macho!? 😳

Pole Boss! Ulidhani kazi yetu ni kuilaani CCM tu kila siku bila kuangalia baada ya CCM nani anafaa? Kwa mfano, Kama hata nawe una nafasi CHADEMA, hainekani kama unafaa kwa lolote, labda upate nafasi ya kusimama nyuma ya mgombea.
 
Acha ujinga wewe! Nani alikuyekudanganya kila mtu anataka kuwa mwanasiasa? Kupinga maovu ya KICHAA na maccm haina maana nataka kuwa mwanasiasa.

Sasa unahitimisha vipi Chadema hawafai kwa kuimba kama kasuku tu? Ukiulizwa ni vigezo vipi ulivyovitumia unang’aa macho!? 😳
Pole sana kwa maumivu! Historia ya michango yako mizuri kwa serikali ndani ya JF iliishia safari zilipozuiliwa. Ndo maisha hayo! Pokea haki yako, achana na misheni za kijiweni.
 
Acha kujibaraguza kama vile unanifahamu. Mie na kijiweni wapi na wapi? 😳😳

Pole sana kwa maumivu! Historia ya michango yako mizuri kwa serikali ndani ya JF iliishia safari zilipozuiliwa. Ndo maisha hayo! Pokea haki yako, achana na misheni za kijiweni.
 
Upinzani upi huo?. Huu wa kulalamika, na jazba juu?. Upinzani ulikuwa ule wa kina Dr. Slaa na Zitto kabla hamjawatimua. Hoja kwa hoja. Unyonge mnao wenyewe kwa kukubali kuwekwa mfukoni na kakikundi ka watu wachache. Fumbueni macho, muione Tanzania mpya yenye uchumi wa juu, juu, juu zaidi inayokuja. JPM, kazi tu.
Hapo kwenye jazba umenena,sijui waliambiwa wapi jazba na matusi Ni sifa.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom