Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Hii ni kwa mujibu wa Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi ambaye ametangaza kuwa vyama vyote vya siasa vitafanya mkutano wa hadhara mjini Arusha kwa ajili ya kuzika rasmi uhasama wa kisiasa mkoani humo.
Mkutano utafanyika katika uwanja wa sheigh Amri Abeid ambapo viongozi wa vyama wa mikoa ndio pekee watakaoruhusiwa kuvaa sare za vyama vyao.
Mkutano utafanyika katika uwanja wa sheigh Amri Abeid ambapo viongozi wa vyama wa mikoa ndio pekee watakaoruhusiwa kuvaa sare za vyama vyao.