CCM, CHADEMA, TLP, CUF kufanya mkutano wa hadhara wa pamoja wa Maridhiano Arusha

Mwana Mpotevu

Platinum Member
Sep 7, 2011
3,295
2,500
Hii ni kwa mujibu wa Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi ambaye ametangaza kuwa vyama vyote vya siasa vitafanya mkutano wa hadhara mjini Arusha kwa ajili ya kuzika rasmi uhasama wa kisiasa mkoani humo.

Mkutano utafanyika katika uwanja wa sheigh Amri Abeid ambapo viongozi wa vyama wa mikoa ndio pekee watakaoruhusiwa kuvaa sare za vyama vyao.
 
Kamanda Lema awepo maanake Magamba wenzangu nawafaham, lazima Watapotosha, ila Kuweni Makini sana na hawa CUF hasa MBATIA na huyo Mbunge wa Mkanyageni HABIBU MNYAA
 
Sijui kama ni rahisi kiasi hicho jambo kama hilo kutokea kwa Arusha hasa hao wauaji ccm wapande jukwaa moja na Chadema? Sijui... Lakini kwa cuf na tlp sioni ukakasi wowote kwakuwa tayari wanashirikiana katika maeneo mengine.
 
Maridhiano ya nini wakati hakuna ugomvi.
Hii ni kwa mujibu wa Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi ambaye ametangaza kuwa vyama vyote vya siasa vitafanya mkutano wa hadhara mjini Arusha kwa ajili ya kuzika rasmi uhasama wa kisiasa mkoani humo.

Mkutano utafanyika katika uwanja wa sheigh Amri Abeid ambapo viongozi wa vyama wa mikoa ndio pekee watakaoruhusiwa kuvaa sare za vyama vyao.
 
Hii ni kwa mujibu wa Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi ambaye ametangaza kuwa vyama vyote vya siasa vitafanya mkutano wa hadhara mjini Arusha kwa ajili ya kuzika rasmi uhasama wa kisiasa mkoani humo.

Mkutano utafanyika katika uwanja wa sheigh Amri Abeid ambapo viongozi wa vyama wa mikoa ndio pekee watakaoruhusiwa kuvaa sare za vyama vyao.

Huu utakuwa ni upuuzi wa mwisho kutokea Arusha kwa chadema! Haijawahi kutokea nchi yoyote yenye demokrasia ya vyama vingi! Kama Mtungi anataka kuondoa tension iliyoko Arusha ni kuhakikisha haki inatendeka tu basi nothing else will help!

Hii ni mbinu ya maccm kutaka kuichafua chadema! Wanataka baada ya mkutano huo wazushe kuwa hata chadema nao wako kundi moja na ccm hivyo ni walewale! Chadema wasithubutu kuingia huu mkenge watajuta huko mbele! Wanapashwa kuwa wajanja kama nyoka ila wapole kama huwa maana zama hizi ni za uovu wa maccm at its peak!

Mtungi kazi yake kati hili ni kuhakikisha kuna level ground kwa vyama vyote lakini si kuviunganisha kuwa kitu kimoja hii ni kutumwa na ccm! Awaambie ccm warudishe umeya wa Arusha ili haki itendeke kwa uchaguzi halali! Na afanye hivyo na kule ilemela pia!

Chadema tafadhari kuweni makini kuliko kipindi kingine chochote!
 
Hii ni kwa mujibu wa Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi ambaye ametangaza kuwa vyama vyote vya siasa vitafanya mkutano wa hadhara mjini Arusha kwa ajili ya kuzika rasmi uhasama wa kisiasa mkoani humo.

Mkutano utafanyika katika uwanja wa sheigh Amri Abeid ambapo viongozi wa vyama wa mikoa ndio pekee watakaoruhusiwa kuvaa sare za vyama vyao.
Maridhiano gani? Tunahitaji kusikia uchaguzi wa Meya umefanyika na vyama byote vimeshiriki kama ulivyo kuwa wa naubu meya na si vinginevyo,
 
sijambo baya kwa vyama kukutana ni jambo la diplomasia,lakini kwa siasa za vurugu ni jambo baya....mbona TCD wanakutana..!?
 
Sijui kama ni rahisi kiasi hicho jambo kama hilo kutokea kwa Arusha hasa hao wauaji ccm wapande jukwaa moja na Chadema? Sijui... Lakini kwa cuf na tlp sioni ukakasi wowote kwakuwa tayari wanashirikiana katika maeneo mengine.

Wauaji wa Ras Chacha Wangwe
 
Hii ni mbinu nyuma ya pazia kwa ccm kujiosha Arusha na Tz kwaujumla, na chadema isipo play smart itakua vice versa kwao..
 
Hii haikubaliki na meya feki akiwa bado anatanua madarakani. Huyo kiongozi wa CHADEMA Arusha atakayesimama jukwaani na Magamba itabidi atueleze hiyo damu ya wanawaarusha iliyomwagwa na hao CCM imelipwa vipi ilihali haki iliyokuwa inatafutwa haijapatikana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom