Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #21
Kamanda Lema awepo maanake Magamba wenzangu nawafaham, lazima Watapotosha, ila Kuweni Makini sana na hawa CUF hasa MBATIA na huyo Mbunge wa Mkanyageni HABIBU MNYAA
Viongozi wote wa arusha mkoa na wilaya watahudhuria sanjari na.viongozi wote wa ccm mkoa na wilaya ya arusha mjini