Kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani jijini Arusha zimezidi kupamba moto, huku CCM kupitia kwa naibu Katibu mkuu wake Mwigulu Nchemba akija na mtindo mpya wa kumtumia kijana mmoja anayedaiwa kuwa na ulemavu wa kudumu wa Akili(Taahira) kama sanamu la kuombea kura majukwaani na kisha kumlipa ajira kwa kazi hiyo.
Kijana huyo anayejulikana kama Tesha, ameharibika sura yake kufuatia kumwagiwa tindikali usoni wakati wa uchaguzi wa Igunga mwaka juzi.
Baadhi ya wakazi wa Arusha walishangazwa na kitendo cha kijana huyo kukubali kupandishwa majukwaani ili aonyeshe ulemavu wake wa ngozi usoni na hapo ndipo CCM wapate nafasi ya kuomba kura kwa kigezo cha huruma lakini pia kwa njia ya kukipaka matope chama cha CHADEMA.
Lakini watu kadhaa waliokaa karibu naye na kufuatilia nyendo zake kimatendo na maneno wamegundua hana Akili sawa sawa(Low IQ).
Hapo kabla ilishawahi kuelezwa kuwa huyu kijana kutokana na kuwa na Matatizo ya kiakili amekuwa akikubali kutumiwa kufanya vitu vya hatari tena kwa ujira mdogo sana.
Hata tukio la kumwagiwa Tindikali usoni inadaiwa ni kutokana na wenzake wawili kumgeuka baada ya kuwadhurumu pesa walizopewa na Mwigulu kule Igunga ili waende wakachane picha na mabango ya mgombea ubunge wa CHADEMA.
Kijana huyo anayejulikana kama Tesha, ameharibika sura yake kufuatia kumwagiwa tindikali usoni wakati wa uchaguzi wa Igunga mwaka juzi.
Baadhi ya wakazi wa Arusha walishangazwa na kitendo cha kijana huyo kukubali kupandishwa majukwaani ili aonyeshe ulemavu wake wa ngozi usoni na hapo ndipo CCM wapate nafasi ya kuomba kura kwa kigezo cha huruma lakini pia kwa njia ya kukipaka matope chama cha CHADEMA.
Lakini watu kadhaa waliokaa karibu naye na kufuatilia nyendo zake kimatendo na maneno wamegundua hana Akili sawa sawa(Low IQ).
Hapo kabla ilishawahi kuelezwa kuwa huyu kijana kutokana na kuwa na Matatizo ya kiakili amekuwa akikubali kutumiwa kufanya vitu vya hatari tena kwa ujira mdogo sana.
Hata tukio la kumwagiwa Tindikali usoni inadaiwa ni kutokana na wenzake wawili kumgeuka baada ya kuwadhurumu pesa walizopewa na Mwigulu kule Igunga ili waende wakachane picha na mabango ya mgombea ubunge wa CHADEMA.