Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,673
- 22,264
Wakati wananchi tunahangaika kupata mahitaji yetu muhimu mh. Kinana anahangaikia kura za uchaguzi mdogo wa mwaka huu!
Kwake nchi na wananchi hawana matatizo yoyote ya mahitaji yao ya kila siku, wameridhika.
Kutokana na CCM kuwatimizia mahitaji wananchi ni wakati sasa CCM kujikita kwenye kutafuta kura kwenye uchaguzi mdoga wa mwka huu.
CCM hoyee, mama ameupiga mwingi.
Kwake nchi na wananchi hawana matatizo yoyote ya mahitaji yao ya kila siku, wameridhika.
Kutokana na CCM kuwatimizia mahitaji wananchi ni wakati sasa CCM kujikita kwenye kutafuta kura kwenye uchaguzi mdoga wa mwka huu.
CCM hoyee, mama ameupiga mwingi.