Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,782
sure mkuu. suala la Bukoba liwe somo kwetu soteCCM wilaya au Mkoa haina mamlaka ya kuwafukuza madiwani waliochaguliwa na wananchi bila baraka za kamati kuu.
Lakini tuchangie as an entertainment.
sure mkuu. suala la Bukoba liwe somo kwetu soteCCM wilaya au Mkoa haina mamlaka ya kuwafukuza madiwani waliochaguliwa na wananchi bila baraka za kamati kuu.
Lakini tuchangie as an entertainment.
Mengine tuongee jamani, lakini hili la ccm kumfukuza diwani yeyote wa Arachuga haliwezi tokea, ng'o!.
CCM ni chama cha kidemokrasia. si kama hawa wenzetu ambao kila kukicha wanatimuana
Wewe ndio msemaji wa CCM???
maweeeee. Jeuri hiyo hawana mkuu.nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya ccm inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.
Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa chadema, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa chadema wilaya, anayeaminika kuwarubuni.
Juzi ijumaa madiwani wa ccm waliendelea na kikao pamoja na wale wa chadema hata baada ya meya wao kutoka na kususa
Wewe ndio msemaji wa CCM???
Mkuu, hebu tutajie hao Madiwani.Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.
Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.
Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa
Wewe ndio msemaji wa CCM???